Simba barua yenu ya kugomea mechi ina mkanganyiko mkubwa,,mjitafakari kabla hayajawakuta

Simba barua yenu ya kugomea mechi ina mkanganyiko mkubwa,,mjitafakari kabla hayajawakuta

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-

1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!

2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,

Je, walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa TFF kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!

Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!

Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!

Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
 
Simba hadi aibu, yaani Simba wakisikia wanacheza na Yanga wanaona bora kufa kuliko kucheza na Yanga au bora kugomea mechi ili tu Simba asikutane na Yanga, maana watapata kipigo cha magoli 5 tena 😅😅
 
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!

2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,je walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa tff kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
Muda wa mazoezi ukoje kulingana na ratiba za matumizi wa uwanja kumbe hata saa 3 usiku unaweza fanya mazoezi?
 
Muda wa mazoezi ukoje kulingana na ratiba za matumizi wa uwanja kumbe hata saa 3 usiku unaweza fanya mazoezi?
Mechi iliyotangulia ya derby yanga walizuiwa kufanya mazoezi pale taifa mbona yanga awakugomea mechi? Mechi za derby sijawai sijawai kuona timu zinafanya mazoezi siku Moja kabla pale kwa mkapa,,uwa Kila timu inafanya mazoezi kwenye uwanja wake na ndio maana ata meneja wa uwanja akuwa na taarifa yoyote juu ya icho kitu!
 
Timu mwenyeji ni yanga,,asa unadhan simba alipokutana na ugumu getini kuingia kufanya zoezi na mabaunsa wakazuia et wanataka kufanya uchawi unadhan mabaunsa wametoka wap kama si wa mwenyej
 
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!

2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,je walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa tff kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
Wewe Mbwa acha uchoko hio ni syndicate kubwa endeleeni na uchoko wenu nyie mashoga
 
Hivi ukizuiwa kufanya mazoezi imeandikwa susia Mechi?

Hivi ni Simba hii hii tunayotambiwa sana kwamba Iko imara, ingekosa mazoezi haya ya usiku ingekosa fitness?

Mazoezi ni ya wachezaji, wale wazee waliobebwa kwenye basi walikuwa ni wanini?
 
Timu mwenyeji ni yanga,,asa unadhan simba alipokutana na ugumu getini kuingia kufanya zoezi na mabaunsa wakazuia et wanataka kufanya uchawi unadhan mabaunsa wametoka wap kama si wa mwenyej
Mabaunsa ndio wasimamizi wa uwanja? Ndio Wenye funguo za uwanja wa taifa? Wangeingiaje kama mageti yamefungwa?
 
Wewe mtu uwezo wako wa kufikiri mdogo sana. Sijui kwanini washabiki wa Yanga huwa hamna akili. Mabaunsa wa YANGA nani hawajui? Si wanajulikana? Ina maana video hamjaziona au?

Meneja wa uwanja anapokea maelekezo kwa timu mwenyeji ambae ni Yanga, na mwenyeji ndio anakabidhiwa uwanja na ndo maana anaruhusiwa kuleta mabaunsa wake.

Simba anaruhusiwa kugomea mechi kwasababu hawezi kucheza Leo wakati jana wachezaji hawakufanya mazoezi kwasababu walizuiwa. Inakubalika Dunia nzima. Huwezi peleka wachezaji uwanja wakati hawajafanya training, utaonekana makalio

Umeandika waraka mrefu wa kitu ambacho hukijui. Kweli common sense is not common
 
Wewe Mbwa acha uchoko hio ni syndicate kubwa endeleeni na uchoko wenu nyie mashoga
Kuwa na adabu usidhani Kila Mmoja hapa ni mvuta bangi,,kama uwezi kuchangia hoja kistaarabu kaanzishe uzi wako,,kama ulizaliwa na shoga usidhani wote ni mashoga shika adabu yako!
 
Simba wamekuja na Tawi la Mbuyu hawashuki chini hata watingishwe..
 
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!

2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,je walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa tff kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
Simba sio wajinga kama unavyofikiri.

Sio kwamba hawajui taratibu na kanuni, muda mwingi waliamua kuheshimu Mamlaka hata pale wanapokosewa na mtani kupata faida ya kimaamuzi ya Mamlaka.

Ila safari hii enough is enough. Mamlaka watelekeze sheria kama kanuni inavyotaka na sio kuchekeana.
 
Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!

2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,je walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa tff kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
Kwanini haujatoa credit kwa aliyetoa hili andiko? Au wewe ndiye Hans Rafael?
 
Kuwa na adabu usidhani Kila Mmoja hapa ni mvuta bangi,,kama uwezi kuchangia hoja kistaarabu kaanzishe uzi wako,,kama ulizaliwa na shoga usidhani wote ni mashoga shika adabu yako!
Wadogo kwenye mambo ya mpira wana hasira kuliko hata maisha yao hawana ustaarabu kwenye kuzungumzia Timu zao..
 
Wewe mtu uwezo wako wa kufikiri mdogo sana. Mabaunsa wa YANGA nani hawajui? Si wanajulikana? Ina maana video hujaziona au?

Meneja wa uwanja anapokea maelekezo kwa timu mwenyeji ambae ni Yanga, na mwenyeji ndio anakabidhiwa uwanja na ndo maana anaruhusiwa kuleta mabaunsa wake.

Simba anaruhusiwa kugomea mechi kwasababu hawezi kucheza Leo wakati jana wachezaji hawakufanya mazoezi kwasababu walizuiwa. Inakubalika Dunia nzima. Huwezi peleka wachezaji uwanja wakati hawajafanya training, utaonekana makalio

Umeandika waraka mrefu wa kitu ambacho Common sense is not common
Anaruhusiwa kwa kanuni ipi kugomea mechi tuwekee hapa iyo kanuni,,na ulete uthibitisho kwamba wale ni mabaunsa wa yanga sio habari za kwenye vijiwe vya kahawa,,mahakama uwa inahitaji uthibitisho usio na shaka sio unachokifikiria kichwani mwako
 
Hivi ukizuiwa kufanya mazoezi imeandikwa susia Mechi?

Hivi ni Simba hii hii tunayotambiwa sana kwamba Iko imara, ingekosa mazoezi haya ya usiku ingekosa fitness?

Mazoezi ni ya wachezaji, wale wazee waliobebwa kwenye basi walikuwa ni wanini?
Kwani kuna kanuni inayokataza wazee wasiingie uwanjani? As long as wakitambulika ni sehemu ya timu kanuni ipo wazi. Hawazuiwi.

Hata timu iwe imara vipi, safari hii tunataka sheria na kanuni zifuatwe.

Kama ikibainika Simba ina makosa apewe adhabu stahiki, na ikibainika Yanga kupitia vibaraka wake wanaojitambulisha kama ' Makomandoo' adhabu ichukue mkondo wake.
 
Back
Top Bottom