Barua hii iliyoandikwa na Simba Ina mkanganyiko sana sijui wamekurupuka ama vipi,,nimeisoma vizuri mstari baada ya mstari na nimeona wamejichanganya pakubwa!
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!
2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,
Je, walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa TFF kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?
Kwanza nukuu ya kwanza hii hapa;-
1) Nukuu''katika sintofahamu iyo Simba iriarifiwa na meneja wa uwanja kuwa hana maelekezo ya kamishna wa mchezo'' kupitia mstari huu ni wazi kuwa Simba awajazuiliwa kuingia uwanjani na mabaunsa kama walivyoainisha kwenye barua yao bali wamezuiliwa na meneja wa uwanja kwani ndie mwenye mamlaka na funguo za mageti ya uwanja kuruhusu watu waingie uwanjani!
2) Nukuu ya pili " Mabaunsa wa klabu ya yanga walivamia msafara wa Simba huku wakiendelea na vurugu na wakizuia msafara wa Simba kuingia uwanjani kufanya mazoezi" kupitia mstari huu pia Simba wameandika juu ya mabaunsa wa yanga sasa hapa najiuliza wamejuaje kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Ni uthibitisho upi walioutumia kung'amua kwamba wale ni mabaunsa wa yanga? Pale akukuwepo na kiongozi yeyote wa YANGA,,
Je, walikuwa na vitambulisho? Ama jezi za yanga? Viongozi wote wa yanga wamesajiliwa TFF kikanuni na Sheria za Mpira zinavyotaka akuna sehemu yanga wamesajili jina la baunsa!
Lakini pia barua ya Simba inasema mabaunsa wa yanga wamezuia timu kuingia uwanjani wakati ukiangalia Ile video lile tukio watu walikuwa nje ya uwanja Ina maana na wao awakuwa na mamlaka ya kuingia ndani ya uwanja kwakuwa meneja wa uwanja alipiga rock!
Mabaunsa wanawezaje kumzuia mtu asiingie uwanjani wakati uwanja wenyewe umefungwa?
Simba nawashauri mpeleke timu uwanjani na adhabu za kikanuni uamuliwa kikanuni na sio kugomea mechi vinginevyo point 3 na magoli 3 itakuwa ni halali ya yanga!
Kama mganga wenu aliwapa masharti magumu na mkaona imebuma vilio vingekuwa vingi muwaambie ukweli wanachama wenu na sio kichaka cha ukizuiwa kufanya mazoezi,,mbona yanga mechi iliyopita ilizuiwa kufanya pale mazoezi kwanini awakugomea mechi?