Simba barua yenu ya kugomea mechi ina mkanganyiko mkubwa,,mjitafakari kabla hayajawakuta

Anaruhusiwa kwa kanuni ipi kugomea mechi tuwekee hapa iyo kanuni,,na ulete uthibitisho kwamba wale ni mabaunsa wa yanga sio habari za kwenye vijiwe vya kahawa,,mahakama uwa inahitaji uthibitisho usio na shaka sio unachokifikiria kichwani mwako
Kwa akili za kawaida una amini ni 'Watu' wa Simba ndio wameizuia timu sio?! Au unafikiri the so called 'Makomandoo' wa Azam ndio wamefanya upumbavu ule?

Jaribu kufikiri kwa fikra huru. Ushabiki wa timu zetu usitupofushe.
 
Sheria watatekeleza ya kutoa adhabu ya faini kuanzia milioni 1 mpaka 5 endapo itathibitika timu mgeni imezuiwa kufanya mazoezi ama onyo,,sasa iyo sio sababu inayompa Simba kugomea mechi pia kanuni zitazungumza anayegoma afanye nini
 
Kwa akili za kawaida una amini ni 'Watu' wa Simba ndio wameizuia timu sio?!
Kwaiyo Simba anaruhusiwa kugomea mechi? Nimekwambia tuwekee kanuni inayosema akizuiwa kufanya mazoezi agomee mechi
 
Derby iliyopita Yanga walienda kufanya mazoezi,Derby ya Simba juzi na Azam,Azam walienda kufanya mazoezi,siyo bla bla tu video na picha zipo
 
Sheria watatekeleza ya kutoa adhabu ya faini kuanzia milioni 1 mpaka 5 endapo itathibitika timu mgeni imezuiwa kufanya mazoezi ama onyo,,sasa iyo sio sababu inayompa Simba kugomea mechi pia kanuni zitazungumza anayegoma afanye nini
Hiyo 1-5M ni kuanzia. Sheria ipo wazi. Kwanini usifikiri wanaweza kuzuiwa kwenye mechi 3 ukakimbilia faini ya pesa?

So, hilo limefanyika kimkakati kwa kujua kuna faini ya pesa kama ile ya kupitia njia isiyo rasmi kila wakati?!

Wacha tuone Mamlaka watafanya nini.
 
Kuzuiliwa kwenye mechi 3 yanga ndio meneja wa uwanja,,funguo za mageti ya uwanja nani anazitunza?
 
Derby iliyopita Yanga walienda kufanya mazoezi,Derby ya Simba juzi na Azam,Azam walienda kufanya mazoezi,siyo bla bla tu video na picha zipo
Leta iyo video ya yanga akienda kufanya mazoezi kwenye derby iliyopita
 
Derby iliyopita Yanga walienda kufanya mazoezi,Derby ya Simba juzi na Azam,Azam walienda kufanya mazoezi,siyo bla bla tu video na picha zipo
Sure. Watani wanaona wanaweza ku'Influence' na ku'Manipulate' maamuzi kwasababu baadhi ya Mawaziri ni Viongozi wao.

Totally wrong. Ni Simba aliamua kuheshimu Mamlaka tu, sio kwamba hawawezi kufanya michezo ambayo wao wanafanya.

Watani wanajiona wao ndio 'LAST BORN' wa taifa kwenye football.

Upumbavu tu!
 
Timu mwenyeji ni yanga,,asa unadhan simba alipokutana na ugumu getini kuingia kufanya zoezi na mabaunsa wakazuia et wanataka kufanya uchawi unadhan mabaunsa wametoka wap kama si wa mwenyej
Mpira unaendwa na kanuni siyo nadharia.Unakimbia mechi kwa kanuni gani?Sawa wenyeji wamevunja kanuni.
 
Kuzuiliwa kwenye mechi 3 yanga ndio meneja wa uwanja,,funguo za mageti ya uwanja nani anazitunza?
Usiwe na haraka. Mwenye tatizo atajulikana na ataadhibiwa.

Huyo Meneja si ndio muda wote mnamtumia kuwafungulia geti la nyuma. Basi tutajua shida ipo wapi.

Wala usipate mchecheto.

Simba kama kakosea ataadhibiwa na na ikitokea ni Yanga wataadhibiwa pia.

Tusubiri. Muda ni Mwalimu mzuri.
 
Anaruhusiwa kwa kanuni ipi kugomea mechi tuwekee hapa iyo kanuni,,na ulete uthibitisho kwamba wale ni mabaunsa wa yanga mahakama uwa inahitaji uthibitisho usio na shaka sio unachokifikiria kichwani mwako
Hapa ni kijiwe si mahakama boss? Ushahidi utapelekwa sehemu husika ili mwenye haki apate stahiki yake.
 
Tukishindwa kudadavua hoja, kwa akili na kuhusisha hisia na mihemko ndo Matokeo yake haya!

Newcastle1234 Mkuu umesema vema sana. Mwenye kukupinga, aje na hoja na sio matusi.
 
Hakuna timu itaadhibiwa hapo mechi itapangwa upya

Hii Mechi ni content kipindi hiki Cha uchaguzi imehairishwa wkt muafaka
 
Hapa ni kijiwe si mahakama boss? Ushahidi utapelekwa sehemu husika ili mwenye haki apate stahiki yake.
Haki itaamuliwa kikanuni na sio vinginevyo suala la kugomea mechi ni tofauti kabisa
 
Wakati wanaadhibiwa na timu inatakiwa uwanjani na sio vinginevyo
 
Hakuna timu itaadhibiwa hapo mechi itapangwa upya

Hii Mechi ni content kipindi hiki Cha uchaguzi imehairishwa wkt muafaka
Whatever kaka. Lakini muhimu ujumbe ufike kuwa Simba sio wannyonge kama wanavyoaminishana kwenye vikao vyao.

Uwepo wa waheshimiwa kwenye uongozi wa timu yao lazima uendane na fair competition bila kuathiri kanuni na utaratibu wa uendeshaji wa mpira wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…