Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Hawa Mbao wameshindwa kabisa kutupa raha.!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ngoma ya kitoto haikeshi..Mnyama mkali anavunja Mbao hapa [emoji16] [emoji16] shubamit!
 
Kuongeza dk 30 ni kuwapendelea simba, Yaani zingepigwa penati tu wafungwe tu hao mikia
Mbao walikuwa wanangojea wakafie kwenye penati, na wangeweza kushinda maana Simba wangekuwa wameshatoka mchezoni.

Kwa sasa itabidi Mbao wafunguke kutafuta goli na wanaweza kujikuta wanafungwa bao lingine.

Vv
 
Back
Top Bottom