Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Nausubiri lakini matumaini kwenye FA si makubwa. Ingawaje kwenye 90/120 na penalties lolote linaweza kutokea.
Hongera BAK. Angalau mmefarijika sasa na nyie muwe wa kimataifa
 
Ubingwa Ubingwa tu endeleeni kujadili uhalali wa penati maana mimba wamepewa mbao uchungu mnapata nyie vyura fc

[emoji23] [emoji23] Kumbe hawe uko thimba. Hongera shoga angu.
 
utakuwa na makengeza wewe!
 
hii sio penati...ni kona?
 

Attachments

  • Screenshot (14).png
    373 KB · Views: 48
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…