Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Boko atasaidia maana akiwa karibu na goli anajua kuwa makini mavugo kama vile hajui sana maana ya kuwa pale mble
 
Hivi mbao wakishinda watapata nauli na gharama zingine za usafiri isije kuwa ya mtibwa sugar wakati flani walishindwa kumudu gharama za mashindano ya kimataifa hasa baada ya kupoteza matumaini ila all in all niko pamoja na mbao fc awachape mavugo fc
caf inawalipia
 
Mbao nyuma wanamsitu kwahivyo inahitaji.. Simba kubadili mbinu nyingine
Hawana mbinu nyingine ya ziada.

Mpira wa kuweka chini na kupiga basi sio mzuri kutoka na na ubora wa kiwanja.

Mbinu pekee ni kutumia mipira mirefu ambayo wamekuwa wakitumia kipindi cha kwanza cha DK 45.

Otherwise! watumie mbinu ya 'Table Tennis'. I mean kutumia mikono kuuweka mpira wavuni.
 
Hahahahahaaaa ....!!!
 
Wewe ni Kocha?

Mbona Gongowazi kiliponasia kimoko hamkutumia tennis? Shubamit
 
Mpira umeanza kipindi cha pili
 
Mwakyembe na Majaliwa ndani nadhani wanaangalia mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…