Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Simba Bingwa mpya 2017 ASFC: Simba 2 vs 1 Mbao FC

Kona simba wanapata Dk ya 13 lakini wanakosa
 
Ndio maana mikia ubingwa wanauonaga Jangwani tuu,wanaamini sana uchawi. Mpira wa kwanza eti wanapiga nje makusudi kabisa.
 
simba mbele daima nyuma mwiko
Wewe sio shabiki wa mpira. Hiyo ni slogan ya Yanga, unawezaje kuitumia kwa simba? Yaani ni sawa na shabiki wa Everton aanze kusema You Will Never Walk Alone Evertonians!?
 
Dak 15 Simba 0-0 Mbao fc
 
Dak 20 bado bila bila
 
Dak 24 milango bado ni migumu kwa timu zote
 
Ushindi ni lazima kwa simba

mbao fc piga fisi huyo

Leo ndio fainali kombe la ASFC kaa tayari tuwe pamoja
Vikosi vya vitakavyoanza.
bb4da11a9c3b7182267f37f4cc25354c.jpg

409d86755049c79c1d49aecc6ccf5fc2.jpg

Mpira umeanza rasmi
Mbao fc 0-0 Simba
Dak 5. Timu zimeanza kwa kushambuliana kwa zamu.

Dak 11 bado milango ni migumu kwa timu zote.
 
Mavugo anakosa tena nafasi ya wazi kabisa hapa
Dak 27
 
Back
Top Bottom