Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
haya sawa mtaniUtazurura sana humu,ila Simba anatisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya sawa mtaniUtazurura sana humu,ila Simba anatisha
Kesho akitoa draw apaki mizigo kabisa,akipigwa tar 28 asepe,Simba ya tuma salamu kwa Yanga.. Simba ina tiketi ya Lwandamina, najua tarehe 28, tukishaua huu.. Lwandamina kwao
Mkuu unaonekana una kumbukumbu nzuri. Tusaidie kulinganisha magoli ya Okwi na timu nzima ya YangaLeo hawasemi lolote kuhusu kocha wao Omog! Ila ndio vizuri aje afukuzwe tarehe 28 baada ya kichapo toka kwa mabingwa wa kihistoria Tz! Hivi Haruna bado hana hata goli moja?
Leo hawasemi lolote kuhusu kocha wao Omog! Ila ndio vizuri aje afukuzwe tarehe 28 baada ya kichapo toka kwa mabingwa wa kihistoria Tz! Hivi Haruna bado hana hata goli moja?
Haisaidii kitu hata nikilinganisha! Na wewe niambie pamoja na Yanga kuwa na magoli machache, Je yupo nafasi ya ngapi? Ninacho ipendea timu yangu hata ikiwa ktk kipindi kibaya cha fedha huwa inapambana! Mmeunda timu kwa gharama kubwa na bado ubingwa hamtachukua!Mkuu unaonekana una kumbukumbu nzuri. Tusaidie kulinganisha magoli ya Okwi na timu nzima ya Yanga
Haisaidii kitu kweli lakini sema tu,just mentionHaisaidii kitu hata nikilinganisha! Na wewe niambie pamoja na Yanga kuwa na magoli machache, Je yupo nafasi ya ngapi? Ninacho ipendea timu yangu hata ikiwa ktk kipindi kibaya cha fedha huwa inapambana! Mmeunda timu kwa gharama kubwa na bado ubingwa hamtachukua!
Katika misimu sita aliyocheza yanga alifunga magoli mangapi?! Tuanzie hapo kwanza!!Leo hawasemi lolote kuhusu kocha wao Omog! Ila ndio vizuri aje afukuzwe tarehe 28 baada ya kichapo toka kwa mabingwa wa kihistoria Tz! Hivi Haruna bado hana hata goli moja?