Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
AahhaaaasBado umeshiba pilau la bandari. Kwa akili hizi tunaweza kupata katiba kweli kwa akili hizi?
Ebu tuambie wewe mwenye akili nyingi,,Kabla ya kuropoka muwe mnauliza mueleweshwe pumbavu nyie
Leta hoja sio viroja, unapobwabwaja bila hoja unaonekana ulivyo mweupe kichwanihujui alafu hujijui kama hujui,shida iko hapo.
uwe unauliza mambo ambayo hujui.
Ebu tuambie wewe mwenye akili nyingi,,
Waropokaji wapo kwenu futa kauli yako isiyo na adabu, kuitwa kolo kusiwafanye mkabehave kama jina lenu tafadhali!View attachment 2654223
Ona sasa unataka uambiwe. Maana yake umejiropokea tu kama kawaida yenu wana Uto. Kwa nini usingeuliza?
Najua imekuingia. Sometimes upost vitu humu ukiwa umetumia akili. Sio kuokoteza post za vilaza wenzio fb, hili sio dampo la Utopolo.Waropokaji wapo kwenu futa kauli yako isiyo na adabu, kuitwa kolo kusiwafanye mkabehave kama jina lenu tafadhali!
hoja ndio hii ndugu 👉hujui kitu nimekwambia,hujui alafu unajifanya unajua hata ukijuzwa bado auelewi.Leta hoja sio viroja, unapobwabwaja bila hoja unaonekana ulivyo mweupe kichwani
hoja ndio hii ndugu 👉hujui kitu nimekwambia,hujui alafu unajifanya unajua hata ukijuzwa bado auelewi.
mama Samia tafuta mwarabu uuze hii chura 👉 Mtanzanias
Mkishashiba mihogo yenu mnakuja kujamba jamba humuNi dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Umechelewa sana kuendesha hiyo harambeeMimi nitawashangaa tu kama wataishangilia timu iliyowatoa kwenye hatua ya nusu fainali!
Na kama wataamua kwa makusudi kabisa kuishangilia AzamFc! Na kwa sababu nitakuwepo hapo Mkwakwani, basi hapo hapo uwanjani baada ya mchezo kumalizika, nitaongoza mwenyewe harambee ya kumjengea sanamu Mzee mwenzangu Ismail Ade Rage.
jamaa ajui kitu uyu hata cha ndimu ajacheza.Hili bumunda Mtanzanias sindhani kama litakuwa na soko..labda samia alitoe kama nyongeza kwa waarabu walio nunua Bandari.
Kama ndio hivyo kesho bora tupigwe tu,ikiwezekana licheze benchi la ufundi.Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
sisi yanga tumeamua azam ishinde ili makolo wacheze shirikisho kombe dhaifuNi dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao