SIMBA CHAGUENI MOJA KUISAPOTI YANGA ISHINDE MCHEZE KLABU BINGWA AMA AZAM ISHINDE MCHEZE SHIRIKISHO

SIMBA CHAGUENI MOJA KUISAPOTI YANGA ISHINDE MCHEZE KLABU BINGWA AMA AZAM ISHINDE MCHEZE SHIRIKISHO

Halafu we jamaa ndo umefungua na Uzi Kule twitter
 
Makolo yanastress yanaruka na kukanyagana yanamshambulia mtoa mada kea hasira kali.
 
"Kama ikitokea Yanga SC bingwa wa aza fedaration nafasi yake inabidi apewe nafasi ya tatu kwakuwa nafasi ya kwanza na pili wanaenda CAF CHAMPION.

Kusema kwamba nafasi ya tatu ni Azam FC lakini kwa nafasi yate tunapeleka team 4 na azam yeye tayari anasifa ya kwenda SHIRIKISHO hiyo nafasi inaapewa timu ya nne ambayo ni Singida BS

Kama Azam FC anakuwa bingwa ataenda kama bingwa wa kombe la AZAM FEDERATION alafu nafasi ya ligi inachukuliwa na Singida Big Stars

KLABU BINGWA
YANGA [emoji736]
SIMBA[emoji736]

SHIRIKISHO
AZAM [emoji736]
SINGIDA[emoji736]

Pasi kujali matokeo ya kesho"...
 
"Kama ikitokea Yanga SC bingwa wa aza fedaration nafasi yake inabidi apewe nafasi ya tatu kwakuwa nafasi ya kwanza na pili wanaenda CAF CHAMPION.

Kusema kwamba nafasi ya tatu ni Azam FC lakini kwa nafasi yate tunapeleka team 4 na azam yeye tayari anasifa ya kwenda SHIRIKISHO hiyo nafasi inaapewa timu ya nne ambayo ni Singida BS

Kama Azam FC anakuwa bingwa ataenda kama bingwa wa kombe la AZAM FEDERATION alafu nafasi ya ligi inachukuliwa na Singida Big Stars

KLABU BINGWA
YANGA [emoji736]
SIMBA[emoji736]

SHIRIKISHO
AZAM [emoji736]
SINGIDA[emoji736]

Pasi kujali matokeo ya kesho"...
msing'ang'anie kwa mabingwa nyie ni kwa maluza huko.

Safari hii mkuki uje kwenu muone uchungu wa kuitwa luza mbafu tu.
 
Mimi nitawashangaa tu kama wataishangilia timu iliyowatoa kwenye hatua ya nusu fainali!

Na kama wataamua kwa makusudi kabisa kuishangilia AzamFc! Na kwa sababu nitakuwepo hapo Mkwakwani, basi hapo hapo uwanjani baada ya mchezo kumalizika, nitaongoza mwenyewe harambee ya kumjengea sanamu Mzee mwenzangu Ismail Ade Rage.
Wameishangilia Wydad Casablanca ndio sembuse Azzam? Hao ndio makolo.
 
msing'ang'anie kwa mabingwa nyie ni kwa maluza huko.

Safari hii mkuki uje kwenu muone uchungu wa kuitwa luza mbafu tu.
Kwenye hili mnawaonea Simba bure tu, yule mwendawazimu Manara ndio alianza kuwaita Simba wanacheza kombe la loser.

Yule kichaa Yanga imuweke mbali sasa kuliko kuendelea kumkumbatia, kama GSM wanampenda sana wampe kazi kwenye makampuni yao au kwenye maduka yao.
 
Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Yaani uwe bingwa wa shirikisho ukacheze club bingwa?kweli uto ni uto tu nafuu haionekani.
 
Back
Top Bottom