Simba chagueni moja, msituchanganye

Wewe Ni mjinga unaeelekea kuwa mpumbavu.

Kwamba Jana nilitenda uhalifu hamkunikamata leo nimefanya uhalifu mwingine, kwanini mnanikamata wakati Jana nilipotenda hamkunikamata.

Hiyo ndiyo HOJA yako. Zuzu km zuzu! Hamna akili.
 
Wewe Ni mjinga unaeelekea kuwa mpumbavu.

Kwamba Jana nilitenda uhalifu hamkunikamata leo nimefanya uhalifu mwingine, kwanini mnanikamata wakati Jana nilipotenda hamkunikamata.

Hiyo ndiyo HOJA yako. Zuzu km zuzu! Hamna akili.
Naona unawashwa sana.Vumilia dadangu jumamosi siyo mbali utakunwa tu vzuri.
 
Tipico ni kampuni ya Kamari, imeidhamini Bundesliga kupitia DFB, Hambarg SV na Bayern Munich. Ni kawaida. Hizi Ni biashara kama biashara nyingine

Kwanini kwa Hersi na GSM iwe nongwa!?
Dfb ni benki mkuu fanya utafiti vizuri
 
Utopolo waheed
 
Tipico ni kampuni ya Kamari, imeidhamini Bundesliga kupitia DFB, Hambarg SV na Bayern Munich. Ni kawaida. Hizi Ni biashara kama biashara nyingine

Kwanini kwa Hersi na GSM iwe nongwa!?
....Baelezeee hao makolo FC.. wakijibu hizi nondo ulizoshusha hapa kuhusu udhamini wa South Africa, German na France pls nitag mwananchi mwenzangu
 
....Baelezeee hao makolo FC.. wakijibu hizi nondo ulizoshusha hapa kuhusu udhamini wa South Africa, German na France pls nitag mwananchi mwenzangu
Hawana watu wa kujibu kwa Hoja bali wana waropokaji tu
 
Kuongea rahisi sana mdau ila kutenda unachokitaka sahau
 
We unaetetea nembo ya gsm ikae kwenye bega ulishaona wapi mdhamini mwenza anakaa kwenye bega mwaka jana kbc bank walikua wapo kwenye mabango ya uwanja tu..kwenye jezi ni mdhamini mkuu na wadhamini wa vilabu mfano simba lulia nbc kushoto emiratea aluminium jiesiemu atakaa wapi..kumbuka simba kalipwa milioni 300 kutangaza nembo ya biashara za emarates aluminium..mnataka asihoji kitu asichokijua kimekujaje kama hujui kitu ni dhambi kuhoji..conflicts of interest mnaelewa maana yake..umuhimu wa mikataba kutangaza branda za watu watazifidiaje...hao wengine kukaa kimya hailalashi kuwa tff na gsm wapo sahihi..ila kwa kifupi nembo haivaliwi..hakuna wakuitoza fain simba wala hakuna wa kuishusha daraja..na pia nembo ya gsm haitokuepo kwenye bango lolote mule ndani..itakua hivyo
 
mbona mnakuwa wajinga kiasi hiki? Hakuna anayekataa udhamini wa GSM Ila wapi umeona nembo za kit suppliers wawili kwenye jezi moja?mbona mmekuwa wapumbavu sana
 
Mkataba ni kati ya GSM na TFF tu basi.
Simba inaingiaje hapo
 
Hoja za Simba ziko wazi kabisa yanga kwenye hili hamuhusiki Simba inahitaji ufafanuzi Kanuni ipi inalazimisha mdhani mwenza akae kwenye jezi?
 
Naona unawashwa sana.Vumilia dadangu jumamosi siyo mbali utakunwa tu vzuri.
Hiyo jumamos kwetu sisi ni mechi km mechi nyingine.

Tuna na mechi za makundi CAF kuiwakilisha nchi, kutetea nafasi 4 Tena za uwakilishi. Wee unawaza mechi moja. Sisi tunawaza ubingwa wa ligi kuu na confederation cup.

Simba Ni timu ya malengo makubwa.

BINT SAYUNI umenielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…