Simba chagueni moja, msituchanganye

Simba chagueni moja, msituchanganye

Maofisa wa Yanga na Simba wanajua wanapoenda kujadili mikataba yao mikubwa Azam wanakutana na mtu anaitwa Aboubakar.

Ni mtu huyo huyo ambaye bodi yake iliidhinisha udhamini wa Azam TV kwenye ligi.

Aboubakar huyo huyo ndiye M/kiti wa bodi ya Azam FC. Mbona hili halikujadiliwa tokea mwanzo?
Mkuu unaleta mambo ya Obubakar,uyo Abubakar alihusika kwenye mkataba wa Azam ambao upo wazi na club zitanufaika kwenye huo mkataba kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho anavuta mkwanja.
Azam sio mdhamini wa ligi kuu.
 
Mkuu unaleta mambo ya Obubakar,uyo Abubakar alihusika kwenye mkataba wa Azam ambao upo wazi na club zitanufaika kwenye huo mkataba kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho anavuta mkwanja.
Azam sio mdhamini wa ligi kuu.
Eleza maana ya uwazi wa kimkataba
 
Hawa ni wapuuzi tu ni genge fulani hivi la wahuni wanaleta porojo za kupotezeana muda tu, wanasema awakushirikishwa sijui mikataba yote ya wadhamini ya tff uwa wanashirikishwa?

Na ili kujua kwamba hoja zao hazina mashiko kwenye andiko lao wameilenga gsm na yanga wakati mkataba ni baina ya gsm na tff, gsm ni kampuni inayojitegemea na aimiliki timu yoyote ligi kuu ivyo hoja ya mgongano wa kimaslahi haina mashiko.

Halafu Kama wanakataa kuvaa nembo ya gsm basi na wao wamwambie mo awake mzigo wa udhamini atangaze viberiti vyake na yeye logo yake iwekwe kwenye jezi zaidi ya hapo mi naona ni ujinga wa hawa mbumbumbu ambao wivu unawasumbua dhidi ya gsm ambao wanaona Kama vile wamekuwa tishio kwao
Mkataba wa ligi lazima wanaoshiriki washirikishwe... Unless kichwa chako kimekatwa unawaza Kwa kutumia makalio...
 
Nyie ni mataahira tu, Manara ni brand ambasador wa gsm ulitaka asiwepo? Eng, hersi ni mkuu wa idara ya uwekezaji gsm mlitaka asiwepo? Kwaiyo nyie siku izi mnawapangia watu na kampuni zao waendesheje taasisi zao? Kuwepo kwao yanga aiwazuii kutofanya shughuli walizopangiwa na mwajiri wao eti kwasababu wapo yanga, kwani wakati Gharibu anamuajiri hersi alikuwa anajua atakuja kuchaguliwa kuingia kwenye kamati ya utendaji ya yanga? Au wakati anamuajiri alijua kuna siku ataidhamini ligi kuu? Sababu za ovyo ovyo izo hazina mashiko kwa mtu mwenye akili timamu
Wewe ndio Una Akili timamu lakini hujui huo mkataba ni Kati ya GSM na Tff!!..Unajua kwanini wameweka kipengele cha kuia kujadiliwa huo mkataba na vilabu vyote vinavyo shiriki ligi?!!..
 
TFF imesaini mikataba na AZAM MEDIA, NBC lakini hao wote hamjahoji mikataba yao ipoje na hamkushirikishwa kwanini mnajifanya wajuaji mkataba wa GSM?

Ligi yetu (Mbovu) ina jumla ya timu 16 kwanini timu zingine hawajahoji? Nyie ndo mna mawakili wasomi tu eeh?

Sasa chagueni moja mjadala uishe;

1. Kuleta timu uwanjani Jersey zenu zikiwa na Nembo ya boss mkubwa au msuse (Mmepata pa kujificha kuogopa aibu ya kipigo cha mbwa mwizi).

2. Muendelee kuamini Mapopoma wenu wanaoongozwa na GENTAMYCINE na genge lake la wachawi wanaowaaminisha kwamba mtashinda kichawi mbele ya Yanga (wanaomtegemea Mungu) au kumtegemea Mungu.

3. Kuandika barua kwa bodi ya ligi ili isogeze derby iwe mwakani ambapo mtakuwa mmesajili au mlete vikongwe wenu mpate aibu aibu ya kufunga mwaka.

4. Kama hamtaki kuvaa Nembo rudisheni hela za boss[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mdau ongeza chaguzi zingine ili iwe rahisi kuwapa wigo mpana wa kuchagua (OPTIONS)Kilicho bora zaidi.
We utakuwa umevimbiwa, hivi umesoma wanachokilalamikia na maswali waliyowauliza tff na bodi ya ligi? Tatizo mnaendekeza mahaba hadi mnakuwa utelezi!
 
TFF imesaini mikataba na AZAM MEDIA, NBC lakini hao wote hamjahoji mikataba yao ipoje na hamkushirikishwa kwanini mnajifanya wajuaji mkataba wa GSM?

Ligi yetu (Mbovu) ina jumla ya timu 16 kwanini timu zingine hawajahoji? Nyie ndo mna mawakili wasomi tu eeh?

Sasa chagueni moja mjadala uishe;

1. Kuleta timu uwanjani Jersey zenu zikiwa na Nembo ya boss mkubwa au msuse (Mmepata pa kujificha kuogopa aibu ya kipigo cha mbwa mwizi).

2. Muendelee kuamini Mapopoma wenu wanaoongozwa na GENTAMYCINE na genge lake la wachawi wanaowaaminisha kwamba mtashinda kichawi mbele ya Yanga (wanaomtegemea Mungu) au kumtegemea Mungu.

3. Kuandika barua kwa bodi ya ligi ili isogeze derby iwe mwakani ambapo mtakuwa mmesajili au mlete vikongwe wenu mpate aibu aibu ya kufunga mwaka.

4. Kama hamtaki kuvaa Nembo rudisheni hela za boss🤣🤣🤣

Mdau ongeza chaguzi zingine ili iwe rahisi kuwapa wigo mpana wa kuchagua (OPTIONS)Kilicho bora zaidi.
Hivi katika hili naomba kujuwa tofauti iko wapi. Azam media ni wadau wakubwa wa league ni kama ndio wadhamini wakuu kwenye media ndio pesa hasa inakotoka sio hao NBC lakini Azam pia wana team inashiriki league kuu pia azam wanadhamini FA Cup pia wao wanashiriki sasa hili la GSM shida ni nini hasa kama wamedhamini kama kampuni ya GSM sio Yanga
 
Wewe ndio Una Akili timamu lakini hujui huo mkataba ni Kati ya GSM na Tff!!..Unajua kwanini wameweka kipengele cha kuia kujadiliwa huo mkataba na vilabu vyote vinavyo shiriki ligi?!!..
Mkataba wa Azam na TFF haukuwa na club na kuna mwandishi alimuhoji mwenyekiti wa TFF kwanini ana sign mkataba kama nani na mwenyekiti akamtolea maneno yule mwandishi na NBC pia na TFF mbona haya maneno hatukusikia lakini uhalisia ilitakiwa bodi ya league ndio wa sign kwa maana team za league kuu shareholders ili wapige kura ila TFF imeburuza huko nyuma na wote kimya leo ndio wanamka. nakubaliana TFF sio kazi yao kuingia mikataba.
 
Mkataba wa Azam na TFF haukuwa na club na kuna mwandishi alimuhoji mwenyekiti wa TFF kwanini ana sign mkataba kama nani na mwenyekiti akamtolea maneno yule mwandishi na NBC pia na TFF mbona haya maneno hatukusikia lakini uhalisia ilitakiwa bodi ya league ndio wa sign kwa maana team za league kuu shareholders ili wapige kura ila TFF imeburuza huko nyuma na wote kimya leo ndio wanamka. nakubaliana TFF sio kazi yao kuingia mikataba.
Tusifanye mambo Kwa mazoea!!..Tufwate taratibu na kanuni tulizojiwekea!!...NBC, Azam walifanya vikao na club zote na kujiridhisha kuhusu maslahi ya Club hizi!!;.. GSM hakufanya hivyo..
 
Tusifanye mambo Kwa mazoea!!..Tufwate taratibu na kanuni tulizojiwekea!!...NBC, Azam walifanya vikao na club zote na kujiridhisha kuhusu maslahi ya Club hizi!!;.. GSM hakufanya hivyo..
Nani alisign mikataba na Azam na NBC? ok ndio maana nimesema wako wanasheria wanatakiwa kusema hapa utaraitibu umekiukwa basi na ikija kwenye mikutano na vilabu mwisho wa siku team zina piga kura je wote wakipitisha Simba watakubali? team nyingi zina shida tu wanatafuta chochote
 
Tusifanye mambo Kwa mazoea!!..Tufwate taratibu na kanuni tulizojiwekea!!...NBC, Azam walifanya vikao na club zote na kujiridhisha kuhusu maslahi ya Club hizi!!;.. GSM hakufanya hivyo..
GSM hawezi kuonana na vilabu yeye kaomba udhamini TFF au bodi ya league wao ndio kazi kupeleka kwenye vikao halali sio GSM, wakulaumiwa hapa ni TFF na bodi ya league sio GSM
 
Nani alisign mikataba na Azam na NBC? ok ndio maana nimesema wako wanasheria wanatakiwa kusema hapa utaraitibu umekiukwa basi na ikija kwenye mikutano na vilabu mwisho wa siku team zina piga kura je wote wakipitisha Simba watakubali? team nyingi zina shida tu wanatafuta chochote
Wewe ukiwa na shida sio Sisi wote tunashida!!..Hata hujui unasema nini?!!... kwasababu mnashida basi mlishwe sumu Tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
GSM hawezi kuonana na vilabu yeye kaomba udhamini TFF au bodi ya league wao ndio kazi kupeleka kwenye vikao halali sio GSM, wakulaumiwa hapa ni TFF na bodi ya league sio GSM
GSM anajua anafanya kosa lakini kaendelea kufanya na bado vilabu vinyamaze tu
 
GSM hawezi kuonana na vilabu yeye kaomba udhamini TFF au bodi ya league wao ndio kazi kupeleka kwenye vikao halali sio GSM, wakulaumiwa hapa ni TFF na bodi ya league sio GSM
Vilabu huwa vinakaa na body zote kuangalia na anataka kudhamini!!!..Hii GSM ni yake na TFF haihusu vilabu lakini wanataka kupitia Mlango wa Nyuma!!!..
 
GSM Ni tapeli..yaani Simba ipambambane kujikuza kimataifa kwa Jasho..alafu yeye anufaike kwa kutngazwa na Simba kwa milioni 50 kwa mwaka..WTF!!
 
Back
Top Bottom