Simba Chidy Benz kwenda sauzi kurekodi albamu

Simba Chidy Benz kwenda sauzi kurekodi albamu

Simba dume kutoka Ilala boma(maana Tandale hamna simba) limesema linataka kwenda sauzi na kukaa miezi mitatu kutengeneza na kushoot video kwa ajili ya album yake mpya huku mastaa kibao kutoka Nigeria,Tz na Sauzi wakitaka kuweka sauti zao kwenye album hiyo.
Chidy alidai anaangalia kati ya Tekno,Davido,Don jazz na Wizkid nani akakae na nani amuache ili album yake isije ikasound kinaijeria sana kuliko kibongo na kuhusu nani anamuogopa kwny game sasa alisema "nilkuwa namuogopa marehem ngwea pekee"
Kwa maana hiyo Simba kurudi tena kutafanya wasanii kama weusi,ney,izzo na wengine wakose rotation nzuri kwenye redio station.
Karibu sana chidy kwny seat yako maana ilianza kupata vumbi
Ilala Boma kuna pori au ndo kiki ya kugombea jina. Nakumbuka verse moja "wengine watoboa naogopa wasije kunipiga mbata". Haendi kurekodi huyo, atakuwa anapeleka.
 
Kashindwa kurekodia hapa south ataweza? Asije akawa anapeleka mambo yake yaleee! Mlio karibu yake mwambien awe muangalifu yasitokee ya Ngwea!
 
Hiyo shuhuli anayoifata huko SA ahakikishe anaifanya kwa umakini mkubwa yaliyomkuta Ngwea tunayakumbuka bado.
 
Kama akirudi kwenye
Simba dume kutoka Ilala boma(maana Tandale hamna simba) limesema linataka kwenda sauzi na kukaa miezi mitatu kutengeneza na kushoot video kwa ajili ya album yake mpya huku mastaa kibao kutoka Nigeria,Tz na Sauzi wakitaka kuweka sauti zao kwenye album hiyo.
Chidy alidai anaangalia kati ya Tekno,Davido,Don jazz na Wizkid nani akakae na nani amuache ili album yake isije ikasound kinaijeria sana kuliko kibongo na kuhusu nani anamuogopa kwny game sasa alisema "nilkuwa namuogopa marehem ngwea pekee"
Kwa maana hiyo Simba kurudi tena kutafanya wasanii kama weusi,ney,izzo na wengine wakose rotation nzuri kwenye redio station.
Karibu sana chidy kwny seat yako maana ilianza kupata vumbi
Kama akija kuwa juu Kama mwanzo akatambike!
 
Dah! Huyu ni chidi jamani? Kwenye io picha
 
Mara nyingine najiuliza
una uzuri wa namna gani?
na ninashindwa pata jibu,
Ukiwepo we ndio chanzo
cha kunipoza nafsi yangu
ninapopata majaribu,
Nakuaminii........... nipe raha za duniaaa

Daaaah huyu mshkaji sijui alikoseaga wapi? nakumbuka kipindi hiko anakipindi chake Eatv kilikuwa hakinipiti..
 
Back
Top Bottom