Viongozi wa Simba Mashabiki na wanachama liangalieni sana suala la wachezaji wa Simba kuna wachezaji SImba wameridhika na matokeo ya huko Nyuma hawajitumi wala kuumia. Mfano Chama anakosa goli wala hauumiii, Mwakani tulete damu nyingine yenye uchu wa matokeo.
Why mwl hawachezeshi PHIRI na OKRAH why??? SIMBA Viongozi na wanachama tupaze sauti mwakani tuwe na wachezaji kama 6 wapya wenye uchu wa matokeo hawa wawe sub
CHAMA, KANOUTE, SAIDO TULETE watu wengine wachukue namba zaooo wameridhika sana kuendelea kuwategemea wale wale miaka yote hatutoboi wanasimba wenzangu.
HAWA WA KUONDOA
MKUDE
OKWA
NYONI
JIMMYSON
KYOMBO
ALI SALIMU - MKOPO APATE UZOEFU BADO SANA KATUCHOMA SANA
AKPAN
NI HAYO TU
Why mwl hawachezeshi PHIRI na OKRAH why??? SIMBA Viongozi na wanachama tupaze sauti mwakani tuwe na wachezaji kama 6 wapya wenye uchu wa matokeo hawa wawe sub
CHAMA, KANOUTE, SAIDO TULETE watu wengine wachukue namba zaooo wameridhika sana kuendelea kuwategemea wale wale miaka yote hatutoboi wanasimba wenzangu.
HAWA WA KUONDOA
MKUDE
OKWA
NYONI
JIMMYSON
KYOMBO
ALI SALIMU - MKOPO APATE UZOEFU BADO SANA KATUCHOMA SANA
AKPAN
NI HAYO TU