Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Sawa usichoke komaa sana kutupaishia kuhusu Gamondi. Ulileta nyuzi mfululizo za negative side kwa Gamondi ila saivi kutwa kuleta uzi za positive side kwa Gamondi. Kocha kugombaniwa hutokana na CV yake kujengeka. Gamondi angekuwa ni wa ovyo, asingegombaniwa kwako chambuzi mwasi kitoko.naenda na tread tu. sina issue na gamondi.