SIMBA DAY 2018: Friendly match Simba vs Asante Kotoko.

Namshukuru Allah uzima upo Mtani.

Kama mie nilivyokukumbuka wakati mmeanza kufungwa goli nikajisemea sijui mtani wangu Aminas ana hali gani huko aliko. Ungemtuma tu Mtani angefika. [emoji23] [emoji23] [emoji23].
Hahahahaha! Dah Ilo la Goli Cha Mtoto, Shuhuri Ilonipata Jana Ni Hatari.
 
*"Licha ya uchovu wa safari,Tuliambiwa na kocha tucheze chini ya Kiwango kipindi cha Pili tusiwaharibie wenzetu siku Yao. Tumeshangaa sana tulipoambiwa et hii timu ilikuwa kambi Uturuki tulikuwa tunacheka tu kwenye vyumba wakati wa mapumziko. Ila tunaona wanajitahidi sana kwa kupromote timu yao sijui ni kwanini au wana muda mrefu bila mafanikio kwa sababu umati wa watu na jinsi timu ilivyo cheza vitu viwili tofauti Obed Owusu" (Asante Kotoko)*
 
Bakuli linabei gani saivi
 


Yani NdalaFC kumbe wana wivu Wa Kiwango Cha Kimataifa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Kwasasa Mutasumbuka Bure Kwa Brand ya Simba ilivyo basi Mutasubiri Sana.
Nyie endeleeni Kutembeza Bakuli wakati sisi tunazidi Kupaa.
Kwasasa Simba sio Level Yenu Kabisa, Nyinyi Level Yenu Ni Singida United Kwasasa.

Sisi tunajenga Nyinyi endeleeni Kuweweseka WivuFC πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hmmmm! Yamesemwa Lini Haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…