SIMBA DAY 2018: Friendly match Simba vs Asante Kotoko.

SIMBA DAY 2018: Friendly match Simba vs Asante Kotoko.

BURUTA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
631
Reaction score
809
Haya Wanasimba - mechi hiyo imeshaanza- tujuzane yanayoendelea.
 
Salamba kaonyesha immaturity ya hali ya juu. Inatakiwa akalishwe chini na kufundwa. Sidhani kama yeye ndiye mpigaji wa penati Simba, ndio kwanza anaanza msimu wake wa kwanza. Yaani suala la yeye kichezewa rafu na kusababisha penati, cha kwanza alichofanya ni kuuchukua mpira na kuung'amg'ania.
 
Salamba kaonyesha immaturity ya hali ya juu. Inatakiwa akalishwe chini na kufundwa. Sidhani kama yeye ndiye mpigaji wa penati Simba, ndio kwanza anaanza msimu wake wa kwanza. Yaani suala la yeye kichezewa rafu na kusababisha penati, cha kwanza alichofanya ni kuuchukua mpira na kuung'amg'ania.
Kazingua sana
 
Back
Top Bottom