Sasa propaganda zilikuwa za nini Kama si uchochezi nini. Mara hoo N card wanahujumu, Mara viongozi wanatumiamadaraka vibaya, yote uchochezi tu.All tickets sold out.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa propaganda zilikuwa za nini Kama si uchochezi nini. Mara hoo N card wanahujumu, Mara viongozi wanatumiamadaraka vibaya, yote uchochezi tu.All tickets sold out.
Yanga Day ilikuwa na wasemaji wangapi?Hata mo kaletwa na Simba mbona siku aliposema ajiuzilu mlijikojolea? Huna hoja hhapo kwa Manara.
Ona sasa wasemaji Leo wako kibaao kwa Haji mmoja TU.
Wivu tu umekujaa wapi simba imetangaza ina wasemaji watatuHata mo kaletwa na Simba mbona siku aliposema ajiuzilu mlijikojolea? Huna hoja hhapo kwa Manara.
Ona sasa wasemaji Leo wako kibaao kwa Haji mmoja TU.
Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Wenye timu yetu leo tuna raha mnoooNafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Sawa manara tumekuelewaNafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Nyama ziko chini, tulia. Haji ni level nyingine, hayo majina ya msukule sijui nini yanaakisi revenge angalau kupunguza maumivu aliyowaachia. Siku Haji akitangaza kurudi Simba utashaangilia hadi ufe weweKwani yanga baada ya kumleta manara wamekuwa wangapi?
Simba hakuna wa kumpokea yule, kwa mkapa kumejaa subiri na uhuru ijaeNyama ziko chini, tulia. Haji ni level nyingine, hayo majina ya msukule sijui nini yanaakisi revenge angalau kupunguza maumivu aliyowaachia. Siku Haji akitangaza kurudi Simba utashaangilia hadi ufe wewe
Unateseka ukiwa wapi!?Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Alisema kuwa Simba Day zote Yeye ndiyo huwa anajaza Uwanja tafadhali kama ameshamaliza Kukushughulikia vilivyo Kibaiolojia hapo Kitandani ulipo nae hebu tuulizie Kwake je, na Uwanja ulivyojaa Jana ( tarehe 19 Septemba, 2021 ) tena mapema tu Saa 4 Asubuhi ( kwa Ushahidi wa Picha ) nyingi za Mitandaoni ( hasa kwa Mtandao wa Shaffih Dauda aliujaza Yeye pia?Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
Kwani Manara si yupo Nigeria kuivusha Yanga hadi makundi ya CAF Champions League?Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.