Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Wewe ni KOLO endelea kuwadanganya MAKOLO wenzako yanga hatoki hatua za awali hii mpaka nusu
UTO kama UTO[emoji3][emoji3] Aliyewabatiza hili jina Pepo ni halali yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni KOLO endelea kuwadanganya MAKOLO wenzako yanga hatoki hatua za awali hii mpaka nusu
Ni yeye mwenyewe kabisa!
[emoji28][emoji23]UTO kama UTO[emoji3][emoji3] Aliyewabatiza hili jina Pepo ni halali yake
Utaputapu pia sio baya sana.UTO kama UTO[emoji3][emoji3] Aliyewabatiza hili jina Pepo ni halali yake
mkejeliwa ndio fundi wa kukejeli na kutukana wengine. acha kazi ya kumkejeli iendeleePlease we can endeleza utani bila kukejeli ulemavu wa mtu
Yule jamaa ameicost timuHivi yule mwanayanga aliyeiita timu yake UTOPOLO aliwaza nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Aliyerajwa na mtoa mada kwamba alisema Simba day haipokwa
kwani mlemavu hapo ni nani ?
Kololikiwa moja je!?
Mkuu sidanganyi ,Hawa majamaa washaanza kugombana ,ngoja zije droo ligi kuu na kufungwa hiyo vita manara hata kanyanga taifa watamwona mamluki,kwakweli manara huyupo smart ,angetulia ,Senzo aliondoka tena alikuwa CEO na mafaili aliiba ndo maana Utopolo hadi leo wanaamini watashinda case ya Morison sembuse manara hakuwa hata na mkataba?That is better hahahaaaa
yes we can...Please we can endeleza utani bila kukejeli ulemavu wa mtu