mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hahahaaa. Umeme urudi ndio Mtani. ππ Nilikwenda kulala dkk ya 70.Umeme ulirudi kumbe, vizuri ulipata muda wa kusafisha macho
Si bora huyo ana uhai yule aliyegombania kutoshuka Daraja naye.Lipuli iliigonga kwasu kwasu
Sasa Mtani hayo yote wameyafanya mwaka gani hebu nipatie details kidogo angalau nipate kukuelewa.Hahaha sio kwa kuteseka uku;
ama kweli sindano ya Jana iliwachoma kweli kweli.
Hii ni dynamo ni timu kubwa na ina mafanikio kuliko hata simba na yanga.
Imeshawahi baba kombe la club bingwa Africa la CUF.
Imeshafika robo fainali Mara 6 katika michuano ya Club bingwa Africa.
Ni team ya tatu kwa vikombe nchini Zambia baada ya zesco na nkana.
NB: kariobangi hana historia yeyote zaidi ya kubeba sports pesa cub;
Hahahaaaa. Ndio ndio.
Kama juzi mlivyoacha kufuatilia mechi ya Liver na Man City mkawa busy na siku ya Wanachi.
Mie nafuatilia ujaaji wa Uwanja tu. Teh teh ππ
Week Yote Hii Ni Live πππBado ni live tu?Mikia bwana.
Labda makundi ya wenye EbolaHalafu anasema eti timu zote zitafika makundi,khaaa Yanga na Township akumbuke hili
Wengi tu waliocheza jana wako vzr mtani..Kuna mchezaji mmoja ndio nimemuelewa yule Kanda..bongomani.
Wameanza kujitokezaHahahaaa. Si uwataje tu Mtani.
VizuriHahahaaa. Umeme urudi ndio Mtani. ππ Nilikwenda kulala dkk ya 70.
Bado sana jamaniKaribu simba sports mama ake
This is how we do
Nyie mliopigwa ndani nje na Lipuli,ilikuwa ya ngapi? Gugo pia na Kariobang ilikuwa ya ngapi.nasubiri jibu mtaniπππ sijaielewa maana yako hapa Mtani. Unamaanisha?
Tamasha letu lilifana na lilikuwa kubwa sana kuliko lenu kubali mtani asiyekubali kushindwa si mshindani πππ usimsahau Vieira nimekuchukulia nambaSema vyote Mtani.
Saa umerudi nayo mana jana nasikia mashabiki mliowazoa zoa mtaani walikuwa wanawakwapua tu tena mule mule ndani ya kiwanja.
Huo ndio ukweli Mtani. Teh tehMtani hongereni sana, nasikia mmeandaa kikosi cha maangamizi. Mwaka huu Lipuli hawafungi tena.
πππ Vp jana ulikwenda Uwanjani lakini Mtani?Wengi tu waliocheza jana wako vzr mtani..
1. Shiraf Eldin SHIBOUB
2. Francis Kahata
3. Deo Kanda
4. Gerson FRAGA
5. Tyron DA Silva
πππ naona unaruka viunzi Mtani.Nyie mliopigwa ndani nje na Lipuli,ilikuwa ya ngapi? Gugo pia na Kariobang ilikuwa ya ngapi.nasubiri jibu mtani
πππWameanza kujitokeza
Poyee dada kunkuchaπππ huu ni zaidi ya uchokozi mjue.
Nililala uzuri janaπππ jamaani mdogo wangu lol.