Simba Day,This is Next Level!Nchi inazizima

Simba Day,This is Next Level!Nchi inazizima

Hatari sana.
Simba ni simba Tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umepita Taifa kutokea wapi na kwenda wapi mkuu mana wamefunga njia toka saa tano.
.
IMG-20190806-WA0026.jpeg
 
Hahaaaa. Wataka nikapigwe mdogo wangu mana ikitokea wamefungwa nadhani Uwanja mzima mi ndio ntasimama kushangilia goli la wapinzani. 😀😀😀😀
Una roho mbaya ujue mim ni simba sijag kuzoza kitaa hiki naogopa tutakorofishana ndo maan mekuacha pekee
 
Hawa binadamu leo wamechukua likizo katika shughuli zao za kila siku ? Au hawana shughuli za kila siku ?, Sababu hii mida nilitegemea wenzetu tunaosukuma gurudumu la maisha tuwe bado tunafanya hivyo... kwahio huenda kwa Yanga kutokujaza uwanja sababu ni wachapakazi walikuwa kazini....
 
Back
Top Bottom