Hahahaaa. Safi! Umefunguka ukweli Mtani. πππππLeo ni siku ya kazi,uwanja hauwezi kujaa Mimi ni Simba damu lakini nilichogundua leo ukitaka kujua watu wasiokuwa na kazi au ajira Tanzania nenda uwanja wa Taifa.
SIKU SIMBA IKISHUKA DARAJAJoseverest ni lini utaacha uchawi??
Ile siku ya Yanga umri ulikuwa tofauti Mtani?Hahahaaa. Safi! Umefunguka ukweli Mtani. πππππ
Na asilimia kubwa ya umri wa watu ambao wako taifa sasa ni moja.
mtateseka sanaPhotoshop adobe hahahaha, yanga ndiyo mpango mzima, utashabikiaje kitu rangi nyekundu?
Kuna kaukweli fulani kwenye maneno yako mkuu.Halafu uwanja ukishona nyekundu na nyeupe huwa unapendeza sana na kuonekana tofauti lakini ukishona mboga mboga na maua ya njano unakuwa kama jalala vile
Hahahaaaa. Lol.Ile siku ya Yanga umri ulikuwa tofauti Mtani?
Ila Mtani sisi tunaonyesha hata siku ya kazi tunajaza. Hebu fikiria ingekuwa weekend ingekuaje?!Hahahaaaa. Lol.
Ndio sababu haikuwa siku ya kazi Mtani.
Ujue mmetuacha kwenye Mataa ziko wapi picha tuone mlivyojaza Uwanja mana tunawajibika huku tukitegemea Updates kutoka kwenu.Ila Mtani sisi tunaonyesha hata siku ya kazi tunajaza. Hebu fikiria ingekuwa weekend ingekuaje?!
Nacheki kwenye tv hapa mechi ya madogo uwanja umetapika sana.Bado wamegoma kutuma picha[emoji849][emoji849][emoji849]
Njoo taifaPicha za ndani ya uwanja mmegoma kutuma kabisaaaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mshaanz kuumwa Na tumboMashabiki wengi wa Simba ni Walinzi, Wazee wa night kali ,Vibaka wa ubungo Terminal,Wazururaji kwa utafiti wangu nilioufanya leo huo ndio ukweli japokuwa mimi ni Simba lakini ukweli usemwe
Mshaanz kutafuta sababuHahahaaa. Safi! Umefunguka ukweli Mtani. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Na asilimia kubwa ya umri wa watu ambao wako taifa sasa ni moja.
Wa ligi yetu ya BongoMabingwa watarajiwa wa nn [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuje taifaUjue mmetuacha kwenye Mataa ziko wapi picha tuone mlivyojaza Uwanja mana tunawajibika huku tukitegemea Updates kutoka kwenu.
Hebu leteni picha bana. [emoji12][emoji12]