bite1999
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 387
- 395
Nimesikia mara nyingi tu kutoka kwa msemaji wenu pamoja na kocha wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia mara nyingi tu kutoka kwa msemaji wenu pamoja na kocha wenu
Hvi kocha wetu ni nani ili nijue kwanza kama tunaenda sawa. .Nimesikia mara nyingi tu kutoka kwa msemaji wenu pamoja na kocha wenu
Simba ni timu ya hovyoKocha msaidizi wa As Vita alisema Simba inapiga pasi nyingi zisizokuwa na maana. Nadhani yupo sahihi.
Kocha Masudi Juma hakuwa anafundisha kuremba mpira yeye ni magoli watazamaji weshaona chenga sana wanataka magoli mechi za makundi Simba haishindi hata mechi moja.na Ligi Simba atwai Ubingwa kwa uchezaji wa leoMiaka yote tumekua tukipeleka kikosi cha pili sportpesa lakini this time tumepeleka mashine zetu zote...inatokeaje tunafungwa na bandari tena kwa overcome
hivi mbna hii aibu kubwa kwa taifa yaani miaka 3 mfululizo tunakua wanyonge kwa wakenya...wanaionaje ligi yetu wanaionaje simba na kauli yetu inayosema tunawakilisha east na central Africa kwenye CAF
kiukweli leo nimeumia had kutamani kulia...kwel wakenya wanaondoa team za Tanzania kubwa zote
Sasa woote tuungane kuinga mkono mbao labda tutaiasemea nchi kupitia wao...bora tungeshinda wote Simba na Mbao af mbao achukue ubingwa kuliko hili..I, SINA JAMBO nawaomba mbao mtumie njia hata za uchawi mchukue hili kombe
LETS SUPPORT MBAO
I AM SINA JAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
Huzitaki mbichi hizo?
Yaani kocha wenu humjui ndio unataka mimi nikujulishe au?
Simba hii sio nzuri kama haji manara anavyowalisha matango pori.Miaka yote tumekua tukipeleka kikosi cha pili sportpesa lakini this time tumepeleka mashine zetu zote...inatokeaje tunafungwa na bandari tena kwa overcome
hivi mbna hii aibu kubwa kwa taifa yaani miaka 3 mfululizo tunakua wanyonge kwa wakenya...wanaionaje ligi yetu wanaionaje simba na kauli yetu inayosema tunawakilisha east na central Africa kwenye CAF
kiukweli leo nimeumia had kutamani kulia...kwel wakenya wanaondoa team za Tanzania kubwa zote
Sasa woote tuungane kuinga mkono mbao labda tutaiasemea nchi kupitia wao...bora tungeshinda wote Simba na Mbao af mbao achukue ubingwa kuliko hili..I, SINA JAMBO nawaomba mbao mtumie njia hata za uchawi mchukue hili kombe
LETS SUPPORT MBAO
I AM SINA JAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakasahau hawana Beki.wachezaj wa simba Walikuwa wanacheza kifaza show game nying Huku timu n magoli hata hivo huu n Mpira wa Miguu