SIMBA FC, Aibu mliyotupa leo mashabiki wenu bora hata kufungwa 10 na Al Ahly

SIMBA FC, Aibu mliyotupa leo mashabiki wenu bora hata kufungwa 10 na Al Ahly

Tukumbuke Bandari pia ni stand ya majahazi na meli...... Kudadeki Masaarange...... Wazee wa Bandari mpo meli hiyooo Twanga Pepeta
 
Moja ya ligi mbovu duniani ni ya kwetu! Haishangazi kuwa na timu mbovu zenye kiwango kibovu! Hata hivyo nimefurahi sana mikia kufungwa mana huwa wanajipa sifa za kipuuzi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka yote tumekua tukipeleka kikosi cha pili sportpesa lakini this time tumepeleka mashine zetu zote...inatokeaje tunafungwa na bandari tena kwa overcome


hivi mbna hii aibu kubwa kwa taifa yaani miaka 3 mfululizo tunakua wanyonge kwa wakenya...wanaionaje ligi yetu wanaionaje simba na kauli yetu inayosema tunawakilisha east na central Africa kwenye CAF



kiukweli leo nimeumia had kutamani kulia...kwel wakenya wanaondoa team za Tanzania kubwa zote




Sasa woote tuungane kuinga mkono mbao labda tutaiasemea nchi kupitia wao...bora tungeshinda wote Simba na Mbao af mbao achukue ubingwa kuliko hili..I, SINA JAMBO nawaomba mbao mtumie njia hata za uchawi mchukue hili kombe



LETS SUPPORT MBAO



I AM SINA JAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha Masudi Juma hakuwa anafundisha kuremba mpira yeye ni magoli watazamaji weshaona chenga sana wanataka magoli mechi za makundi Simba haishindi hata mechi moja.na Ligi Simba atwai Ubingwa kwa uchezaji wa leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahali umesikia tunataka kuchukua kombe? ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huzitaki mbichi hizo?

Huu mwaka mtauelewa tu.
1. Kombe la Maulidi lile mnaolipenda huko Zanzibar siku hizi Azam anawababua
2. Huku mlikoenda kwa bahati mbaya msimu huu AS Vita katumwa hela
3. Supoti Hela ndio hivyo tena, Wazee wa Bandari wamepiga honi ya Meli mwenye busha chali
4. Mkija kurudi nyumbani huku mnakuta mume kanuna anataka ndoo ya 29

Nafikiri umefika sasa wakati wa kujimix na Faru Jeuri kule kwa J. J Mwaka

Wazee wa Bandari, meli hiyoooooo 😀😀😀
 
Miaka yote tumekua tukipeleka kikosi cha pili sportpesa lakini this time tumepeleka mashine zetu zote...inatokeaje tunafungwa na bandari tena kwa overcome


hivi mbna hii aibu kubwa kwa taifa yaani miaka 3 mfululizo tunakua wanyonge kwa wakenya...wanaionaje ligi yetu wanaionaje simba na kauli yetu inayosema tunawakilisha east na central Africa kwenye CAF



kiukweli leo nimeumia had kutamani kulia...kwel wakenya wanaondoa team za Tanzania kubwa zote




Sasa woote tuungane kuinga mkono mbao labda tutaiasemea nchi kupitia wao...bora tungeshinda wote Simba na Mbao af mbao achukue ubingwa kuliko hili..I, SINA JAMBO nawaomba mbao mtumie njia hata za uchawi mchukue hili kombe



LETS SUPPORT MBAO



I AM SINA JAMBO

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba hii sio nzuri kama haji manara anavyowalisha matango pori.
 
Kwa maelezo zaidi anaitwa Patrick Aussems. Na nchi aliyotoka je?
 
Yule mpayukaji wake yuko wapi,eti mikia level yao ni man u,barca. Kufru kubwa,analinajisi soka.
 
Back
Top Bottom