SIMBA; Formation na wachezaji wanaoweza kurudisha Mpira Biriani

SIMBA; Formation na wachezaji wanaoweza kurudisha Mpira Biriani

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Tatizo la simba siku za hivi karibuni imekuwa namna ya kupata kiungo mshambuliaji kariba ya clotus Chama ili timu iweze kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji.
Tatizo haliko kwa washambuliaji waliopo, tatizo lipo kwa kiungo gani sahihi aliopo pale msimbazi kuchukua jukumu hilo.
Kwa mara kadhaa kocha anajaribu kumtumia Raly Bwalya lakini kiungo anafeli kufikia viwango na mategemeo ya kocha na mashabiki wanaomuangalia.
Njia nyepesi ya kufanya simba irudi kwenye ubora ni kwa namna gani inavyoweza kutumia viungo wake wazoefu na wenye misuri ya kutosha kwa maana hiyo formation ya 4:3:3 naona ni best kufanya timu icheze ki ushindani huku ikilazimisha nafasi za kutengeneza magoli mengi.
Kwa maana hiyo namuona Kiungo KANUTE anauwezo wa kuyavaa majukumu ya chama pale mbele. Kitakachofanyika ni Kanute kubadilishwa kutoka namba 8 anayocheza apelekwe kiungo namba 10 acheze free role kwa ajili ya kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji waliopo. Kanute analiweza jukumu hilo vizuri sana.
Kinachotakiwa ni simba kutengeneZwa kuwa timu imara na wachezaji wenye nguvu na akili sana.
Sasa kwa formation ya 4:3:3 napendekeza hii squad kuanza.
1. Manura/kasubi
2. Israel Mwenda/Kapombe
3. Mo. Hussein
4. Babu Achieng/ Kenned W
5. Inonga/ Wawa
6. Mukude/ D. Nyoni/ E nyoni
7. B. Morrison/ Banda/Mhiru
8. T. Lwanga/ Mzamiru
9. Boco/Kagere/ Mugaru
10. Kanute/ Kibu Denis
11. Bwalya/ P Sako/Dirunga

Kikosi kitakochokuwa kikianza ni majina yaliyoanza kila kwenye namba.
 
Hakuna timu hapo siku hizi ni genge la wahuni
Ha ha utopolo FC. Nakukumbusha tuu mwaka jana mlikua na kelele hizi hizi mkafikia mpaka kusema mnachukua ubingwa unbiten. Kumbuka chama alikuwepo na Miqison alikuwepo. Tusubiri hesabu za mwisho
 
Hii timu aliasisi djuma

Djuma alikuja na formation hiyo ambayo viungo hao 2 waliielewa vzr na wakaka nayo

Mkitaka timu irudi ktk ubora ule mwiteni tena djuma airudishe kule

Lasivyo hamna na sijui kama mtapata kocha kama yule
 
Tatizo la simba siku za hivi karibuni imekuwa namna ya kupata kiungo mshambuliaji kariba ya clotus Chama ili timu iweze kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji.
Tatizo haliko kwa washambuliaji waliopo, tatizo lipo kwa kiungo gani sahihi aliopo pale msimbazi kuchukua jukumu hilo.
Kwa mara kadhaa kocha anajaribu kumtumia Raly Bwalya lakini kiungo anafeli kufikia viwango na mategemeo ya kocha na mashabiki wanaomuangalia.
Njia nyepesi ya kufanya simba irudi kwenye ubora ni kwa namna gani inavyoweza kutumia viungo wake wazoefu na wenye misuri ya kutosha kwa maana hiyo formation ya 4:3:3 naona ni best kufanya timu icheze ki ushindani huku ikilazimisha nafasi za kutengeneza magoli mengi.
Kwa maana hiyo namuona Kiungo KANUTE anauwezo wa kuyavaa majukumu ya chama pale mbele. Kitakachofanyika ni Kanute kubadilishwa kutoka namba 8 anayocheza apelekwe kiungo namba 10 acheze free role kwa ajili ya kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji waliopo. Kanute analiweza jukumu hilo vizuri sana.
Kinachotakiwa ni simba kutengeneZwa kuwa timu imara na wachezaji wenye nguvu na akili sana.
Sasa kwa formation ya 4:3:3 napendekeza hii squad kuanza.
1. Manura
2. Israel Mwenda/Kapombe
3. Mo. Hussein
4. Babu Achieng/ Kenned W
5. Wawa
6. Mukude/ D. Nyoni/ E nyoni
7. B. Morrison/ Banda
8. T. Lwanga/ Mzamiru
9. Boco/Kagere/ Mugaru
10. Kanute/ Kibu Denis
11. Raly Bwalya/ P Sako

Kikosi kitakochokuwa kikianza ni majina yaliyoanza kila kwenye namba.
Simba haijacheza hata robo ya mechi za msimu huu acha kujifanya kocha
 
Sema niwekee ile rasta ya kikongo ile namba chafu, fanya upangue beki zako iweke hapo au kiungo ya ukabaji iweke uone moto wa champion league kama sio kuuzimia kwenye semi final
 
Aucho amesugua benchi kwa Lwanga huko Uganda leo

cc: Gide MK, Insigne, Tate Mkuu
Ushabiki mwingine bwana kama walevi. Kocha anakuwa na game plan zake kulingana na mechi husika, sio kila mechi basi anayekuwa benchi basi ni mbovu bali saa nyingine kocha anamua kumpumzisha mechezaji kutokana na urahisi wa mechi. Mechi iliyopita Lwanga aliwekwa benchi na Aucho akaanza. Mechi ya juzi dhidi ya Rwanda wakapangwa wote wawili. Mechi ya leo kapangwa Lwanga. Hivyo unaona ni game approach ya kocha kulingana na mechi husika wanawekwa benchi hadi Messi na CR7 lakini sio kwamba kuwekwa kwao benchi basi ni wabovu kuliko aliyepewa nafasi ya kuanza. Kumbuka Aucho ni team captain wa Uganda
 
Hii timu aliasisi djuma

Djuma alikuja na formation hiyo ambayo viungo hao 2 waliielewa vzr na wakaka nayo

Mkitaka timu irudi ktk ubora ule mwiteni tena djuma airudishe kule

Lasivyo hamna na sijui kama mtapata kocha kama yule
Nimemkumbuka sana kocha Masudi Juma.
Timu ilikuwa na kasi ya mwendo wa rocket.
Mchezaji akilegea mara mbili anaweka Sabu fasta na kuingiza mwingine.
Sintomsahau masudi
 
Lwanga a
Ushabiki mwingine bwana kama walevi. Kocha anakuwa na game plan zake kulingana na mechi husika, sio kila mechi basi anayekuwa benchi basi ni mbovu bali saa nyingine kocha anamua kumpumzisha mechezaji kutokana na urahisi wa mechi. Mechi iliyopita Lwanga aliwekwa benchi na Aucho akaanza. Mechi ya juzi dhidi ya Rwanda wakapangwa wote wawili. Mechi ya leo kapangwa Lwanga. Hivyo unaona ni game approach ya kocha kulingana na mechi husika wanawekwa benchi hadi Messi na CR7 lakini sio kwamba kuwekwa kwao benchi basi ni wabovu kuliko aliyepewa nafasi ya kuanza. Kumbuka Aucho ni team captain wa Uganda
Lwanga ALikuwa majeruhi we upotolo ndio maana hakucheza
 
Sema niwekee ile rasta ya kikongo ile namba chafu, fanya upangue beki zako iweke hapo au kiungo ya ukabaji iweke uone moto wa champion league kama sio kuuzimia kwenye semi final
Simba ina wachezaji wazuri sana ikiwa kocha ataweza kuwapanga vizuri
 
Aucho amesugua benchi kwa Lwanga huko Uganda leo

cc: Gide MK, Insigne, Tate Mkuu
Ni mwalimu tu atakua ameamua kumuanzisha kiungo mkabaji wa kubutua butua na kucheza rafu.

Na kwa bahati nzuri Lwanga ana sifa hizo ukilinganisha na kiungo anaye tumia akili nyingi kukaba na kushambulia kwa wakati huo huo kama Khalid Aucho.
 
Ni mwalimu tu atakua ameamua kumuanzisha kiungo mkabaji wa kubutua butua na kucheza rafu.

Na kwa bahati nzuri Lwanga ana sifa hizo ukilinganisha na kiungo anaye tumia akili nyingi kukaba na kushambulia kwa wakati huo huo kama Khalid Aucho.
Jana umeangalia game ya uganda na rwanda? kuna sehemu yoyote Lwanga alibutua au alicheza rafu?Habari ikufikie kwamba Lwanga jana kafanya kitu ambacho kime wafanya waganda watoke na point tatu ndani ya st mary stadium
 
Nakubali kiasi fulani na maoni yako...kinachokosekana simba kwa sasa ni kiungo wa mbele fundi...mwenye maamuzi ya haraka ya kushambulia kwa kupenyeza mipira timu inaposhambulia....
Ni kweli kila mechi ina game plan yake, lakini lazima uwe na mfumo unaoutegemea ..Naona ufundi fulani ktk miguu ya Kanoute kama atapewa jukumu hilo.

Simba ya mwaka huu ina wachezaji wenye spidi zaidi kama itaamua kucheza soka la haraka haraka yenye kasi ya kushambulia ...na hili unahitaji kiungo mshambuliaji mwenye macho ya mbele..na hapa ndipo ninapo muwazia Kanoute
 
Back
Top Bottom