Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Acha kutudanganya wewe....Hii timu aliasisi djuma
Djuma alikuja na formation hiyo ambayo viungo hao 2 waliielewa vzr na wakaka nayo
Mkitaka timu irudi ktk ubora ule mwiteni tena djuma airudishe kule
Lasivyo hamna na sijui kama mtapata kocha kama yule
Mechi ya juzi ya wapi hiyo......Ushabiki mwingine bwana kama walevi. Kocha anakuwa na game plan zake kulingana na mechi husika, sio kila mechi basi anayekuwa benchi basi ni mbovu bali saa nyingine kocha anamua kumpumzisha mechezaji kutokana na urahisi wa mechi. Mechi iliyopita Lwanga aliwekwa benchi na Aucho akaanza. Mechi ya juzi dhidi ya Rwanda wakapangwa wote wawili. Mechi ya leo kapangwa Lwanga. Hivyo unaona ni game approach ya kocha kulingana na mechi husika wanawekwa benchi hadi Messi na CR7 lakini sio kwamba kuwekwa kwao benchi basi ni wabovu kuliko aliyepewa nafasi ya kuanza. Kumbuka Aucho ni team captain wa Uganda
Mfungaji bora licha ya kukosa robo ya musimu akiwa majeruhi.Bocco amna mchezaji humo
Kakolanya mmesha mfanya ndind8cha la timu?Tatizo la simba siku za hivi karibuni imekuwa namna ya kupata kiungo mshambuliaji kariba ya clotus Chama ili timu iweze kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji.
Tatizo haliko kwa washambuliaji waliopo, tatizo lipo kwa kiungo gani sahihi aliopo pale msimbazi kuchukua jukumu hilo.
Kwa mara kadhaa kocha anajaribu kumtumia Raly Bwalya lakini kiungo anafeli kufikia viwango na mategemeo ya kocha na mashabiki wanaomuangalia.
Njia nyepesi ya kufanya simba irudi kwenye ubora ni kwa namna gani inavyoweza kutumia viungo wake wazoefu na wenye misuri ya kutosha kwa maana hiyo formation ya 4:3:3 naona ni best kufanya timu icheze ki ushindani huku ikilazimisha nafasi za kutengeneza magoli mengi.
Kwa maana hiyo namuona Kiungo KANUTE anauwezo wa kuyavaa majukumu ya chama pale mbele. Kitakachofanyika ni Kanute kubadilishwa kutoka namba 8 anayocheza apelekwe kiungo namba 10 acheze free role kwa ajili ya kutengeneza nafasi nyingi za magori kwa washambuliaji waliopo. Kanute analiweza jukumu hilo vizuri sana.
Kinachotakiwa ni simba kutengeneZwa kuwa timu imara na wachezaji wenye nguvu na akili sana.
Sasa kwa formation ya 4:3:3 napendekeza hii squad kuanza.
1. Manura/kasubi
2. Israel Mwenda/Kapombe
3. Mo. Hussein
4. Babu Achieng/ Kenned W
5. Inonga/ Wawa
6. Mukude/ D. Nyoni/ E nyoni
7. B. Morrison/ Banda/Mhiru
8. T. Lwanga/ Mzamiru
9. Boco/Kagere/ Mugaru
10. Kanute/ Kibu Denis
11. Bwalya/ P Sako/Dirunga
Kikosi kitakochokuwa kikianza ni majina yaliyoanza kila kwenye namba.
Soma vizuri, nimesema kabla ya Mechi ya Rwanda vs Uganda. Mechi ya Kenya vs Uganda, Aucho alianzishwa na Lwanga hakuwepo hata sub Mechi ya Uganda vs Mali, Aucho alianza na Lwanga hakuwepo hata sub, Mechi ya Rwanda vs Uganda, Wote wawili walichezeshwa na Aucho alikuwa team captain wa Uganda. Mechi ya Uganda vs Rwanda, alianzishwa Lwanga na Aucho hakuwepo hata sub. Point yangu ilikuwa kwamba kutokuanzishwa kwa mchezaji inategemea na game approach ya mwalimu na pia inategemea na utimamu wa mwili kwa mchezaji husika na sio kwasababu ya fulani ni zaidi ya fulani. Aucho mpaka anapewa team captain maanake kaaminika kocha.Mechi ya juzi ya wapi hiyo......
Lwanga aliyokaa benchi....
Ulitaka lwanga acheze na yupo Injury.....?Soma vizuri, nimesema kabla ya Mechi ya Rwanda vs Uganda. Mechi ya Kenya vs Uganda, Aucho alianzishwa na Lwanga hakuwepo hata sub Mechi ya Uganda vs Mali, Aucho alianza na Lwanga hakuwepo hata sub, Mechi ya Rwanda vs Uganda, Wote wawili walichezeshwa na Aucho alikuwa team captain wa Uganda. Mechi ya Uganda vs Rwanda, alianzishwa Lwanga na Aucho hakuwepo hata sub. Point yangu ilikuwa kwamba kutokuanzishwa kwa mchezaji inategemea na game approach ya mwalimu na pia inategemea na utimamu wa mwili kwa mchezaji husika na sio kwasababu ya fulani ni zaidi ya fulani. Aucho mpaka anapewa team captain maanake kaaminika kocha.
Panga kikosi chako vyovyote mkuu.....Kulirudisha biriani Bwalya acheze kiungo ya chini pamoja na Lwanga. Viungo washambuliaji weka Sakho, Banda na Nyoni halafu striker Mugalu.
Mugalu ana mapungufu yake lakini ndio striker mwenye uwezo pekee wa kukaa na mipira na ku link na wachezaji wenzake. Kitu ambacho Bocco na Kagere hawana.
Beki weka Inonga na Keneddy, naamini Wawa wakati wake unafikia tamati
Manula
Kapombe Keneddy Inonga Zimbwe
Lwanga Bwalya
Banda Sakho Nyoni
Mugalu
Ameshasepa zakeKiukweli mpaka sasa team haijapata no10 sahihi ya kucheza hapo
Wamjaribu Ajib