Ndugu mashabiki wa simba , amani iwe kwenu.
Mie kama mshabiki wa simba na wenzagu hatufurahii aina ya mpira unaochezwa na simba..Yaan hauvutii kama wa real au arsenal. Hivyo naomba uongozi wa simba umfukuze huyu kocha na mlete kocha wakufundisha mpira wa kuvutia. Kushinda mechi ni poa lakini kama chama kubwa tunataka kandanda la kulemba na kuvutia.
toka nijiunge humu leo ndio nimedhibitisha kuwa member wengine ni NYUMBU kabsaNdugu mashabiki wa simba , amani iwe kwenu.
Mie kama mshabiki wa simba na wenzagu hatufurahii aina ya mpira unaochezwa na simba..Yaan hauvutii kama wa real au arsenal. Hivyo naomba uongozi wa simba umfukuze huyu kocha na mlete kocha wakufundisha mpira wa kuvutia. Kushinda mechi ni poa lakini kama chama kubwa tunataka kandanda la kulemba na kuvutia.
1 ya 4 weweNdugu mashabiki wa simba , amani iwe kwenu.
Mie kama mshabiki wa simba na wenzagu hatufurahii aina ya mpira unaochezwa na simba..Yaan hauvutii kama wa real au arsenal. Hivyo naomba uongozi wa simba umfukuze huyu kocha na mlete kocha wakufundisha mpira wa kuvutia. Kushinda mechi ni poa lakini kama chama kubwa tunataka kandanda la kulemba na kuvutia.
Buzaa kilimo cha gani wa na gongo..utakua umelewa..buzaa
MIE NI SIMBA DAMU.. LAKINI TIME YETU IMEKUWA LAZIMA SASA TUJITOFAUTISHE NA TIMU KAMA YANGAShabiki wa Yanga