mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Huu ndio ukweli ndugu zangu, Simba tumekuwa tukifungwa tu kila mara tunapokutana na Hawa wakongo na kibaya zaidi hata mechi za kirafiki wamekuwa wakitufunga.
Hadi mechi za sherehe yetu ya Simba day pia wamekuwa wakitufunga. Tuwape hongera Yanga [emoji617] Kwa kuifunga timu ambayo imekuwa ukituonea[emoji119][emoji1732][emoji1732]
Hadi mechi za sherehe yetu ya Simba day pia wamekuwa wakitufunga. Tuwape hongera Yanga [emoji617] Kwa kuifunga timu ambayo imekuwa ukituonea[emoji119][emoji1732][emoji1732]