Simba haikufanya mazoezi uwanja wa Jamhuri Morogoro ikapoteza mechi muhimu

Na mwanza
 
Reactions: Tsh
Toka lini ukaona Yanga ana walinzi?
Kwanini Simba hawakupoga simu hapo Chang'ombe police station waje kuwaondoa hao waharifu na wafanye mazoezi
Mkuu, Haya majibu mbona yote yapo kwenye taarifa ya bodi ya ligi kuhairisha mechi, umeisoma?
 
Kwa Nini mnaishia kwenye haki tu ya kufanya mazoezi hamtaki kuelezea wajibu wa kutoa taarifa Kwa mwenyeji, meneja na Afisa wa Mechi!!! Kila haki Ina wajibu je wajibu wenu mliutimiza wa kutoa Taarifa!!?
 
Mechi ilisogezwa mbele masaa mawili tu Yanga ikagoma kucheza ila cha ajabu timu inazuiwa kufanya mazoezi muhimu mnataka ionekane ni jambo la kawaida.
Yanga alifika kwenye mechi muda wa awali uliopangwa na Simba hakutokea
 
Mkuu, Haya majibu mbona yote yapo kwenye taarifa ya bodi ya ligi kuhairisha mechi, umeisoma?
Taarifa ya bodi ya ligi inasema Simba hakuwapa taarifa za ujio wao Kwa meneja wa uwanja, kamshina wa michezo wala mwenyeji wa mchezo
Sasa ulitaka Simba apokelewe na nani hapo kiwanjani?
 
Mechi ilisogezwa mbele masaa mawili tu Yanga ikagoma kucheza ila cha ajabu timu inazuiwa kufanya mazoezi muhimu mnataka ionekane ni jambo la kawaida.
Mechi gani hii,kwa hii ya ya JKT umeamua kuichunia,imetokea mwaka jana 2024.

Kwani kuna kanuni inayo ruhusu timu kususa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi baada ya mechi?Nitajie kifungu.....

Kikanuni Yanga alikuwa sawa kipindi kile bodi ya ligi ilibadilisha mda wa mechi siku ya mechi husika, Yanga hawakupata taarifa OFFICIALLY wakaenda uwanjani baada ya dk 15,hamkutokea wakaondoka uwanjani. Kama kawaida ukatumika uchochoro wa HEKIMA NA BUSARA zikaachwa kanuni.
 
Taarifa ya bodi ya ligi inasema Simba hakuwapa taarifa za ujio wao Kwa meneja wa uwanja, kamshina wa michezo wala mwenyeji wa mchezo
Sasa ulitaka Simba apokelewe na nani hapo kiwanjani?
Ilipokelewa na watu wanaodhaniwa ni nani na kuzuiwa? Usijibu unachofikiri, soma taarifa ya bodi.
 
Kwa Nini mnaishia kwenye haki tu ya kufanya mazoezi hamtaki kuelezea wajibu wa kutoa taarifa Kwa mwenyeji, meneja na Afisa wa Mechi!!! Kila haki Ina wajibu je wajibu wenu mliutimiza wa kutoa Taarifa!!?
Kanuni inasema Afisa wa mechi ndiyo anatakiwa atoe taarifa pale kunapokuwa na mazingira ya kanuni hiyo itashindwa kufanya kazi! Badala yake mabausa wa Yanga wakajipa jukumu lisilo lao na sasa msala mnao.

Hiyo haki ya timu ngeni ni automatic haina mjadala na pale inakuwa haiwezekani kutekelezeka ndiyo inabidi timu husika itaarifiwe mapema. Swali lako linatakiwa kuwa je Simba ilitaarifiwa mapema kuwa haitaweza kutumia uwanja wa Mkapa kufanya mazoezi?
 
Mkishavurunda mnatafuta sketi za kujifichia. Juzi mlikana "makolo" siyo Simba, leo hii mnawakana watendaji wenu mnaowatuma kufanya uhuni.
Bro usilete stori za kwenye vijiwe cha kahawa, watanzania wa yanga wanajulikana mtendaji gani alieizuia simba kuingia uwanjani ? Let's maneno
 
Bro usilete stori za kwenye vijiwe cha kahawa, watanzania wa yanga wanajulikana mtendaji gani alieizuia simba kuingia uwanjani ? Let's maneno
Kwa nini nishangae mnavyowaruka watendaji wenu wakati juzi mmeishangaza dunia kwa kudai "Makolo" ni timu ya mtaani na haihusiani na timu yoyote ya NBC. Baada ya hapo ni nani atawachukulia siriazi?
 
Kwa Nini mnaishia kwenye haki tu ya kufanya mazoezi hamtaki kuelezea wajibu wa kutoa taarifa Kwa mwenyeji, meneja na Afisa wa Mechi!!! Kila haki Ina wajibu je wajibu wenu mliutimiza wa kutoa Taarifa!!?
Wanaojua sheria za mpira wanielimishe, Je ni kweli kwamba sheria huwa inasema timu mwenyeji huwa ana kabidhiwa uwanja siku moja kabla ya mechi kuchezwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…