pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Nimekua nikisoma kwenye mitandao kuwa Simba iligomea mechi mimi nakataa na sababu zangu ni kwamba mechi haikuchezwa.
Hili mgomo uhalalishwe ni pale bodi ya ligi ingeendelea na msimamo wake wa awali kuwa mechi ipo palepale afu wapeleke waamuzi na kamisaa uwanjani na waisubiri simba dakika 30 na simba wasitie timu afu wamalize mchezo hapo ndipo pangekua na mjadala wa mgomo.
Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba
Sasa Simba kwa hasira zao wakapost usiku kuwa wamesusia mechi asubuhi badi ya ligi wanasema mechi ipo palepale kabla ya saa za mchezo bodi ya ligi inatangaza tena hakuna mechi, sasa simba wangeenda uwanjani si wangekua kituko kama wale wengine!!.
We umeambiwa hakuna mechi na aliyekuambia ni mwenye mehi mwenyewe afu unapeleka timu uwanjani "UTOTO" wahed.
Simba hawakugoma bali mechi ilihairishwa mpaka SIMBA NA YANGA wajenge viwanja vyao.
Hili mgomo uhalalishwe ni pale bodi ya ligi ingeendelea na msimamo wake wa awali kuwa mechi ipo palepale afu wapeleke waamuzi na kamisaa uwanjani na waisubiri simba dakika 30 na simba wasitie timu afu wamalize mchezo hapo ndipo pangekua na mjadala wa mgomo.
Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba
Sasa Simba kwa hasira zao wakapost usiku kuwa wamesusia mechi asubuhi badi ya ligi wanasema mechi ipo palepale kabla ya saa za mchezo bodi ya ligi inatangaza tena hakuna mechi, sasa simba wangeenda uwanjani si wangekua kituko kama wale wengine!!.
We umeambiwa hakuna mechi na aliyekuambia ni mwenye mehi mwenyewe afu unapeleka timu uwanjani "UTOTO" wahed.
Simba hawakugoma bali mechi ilihairishwa mpaka SIMBA NA YANGA wajenge viwanja vyao.