Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Nawaambia sasa muelewe Yanga ni team kubwa na nzuri kipindi hiki cha Samia. Imekaa vizuri sana.
Simba wasahau kabisa suala la kuchukua Ubingwa. It wont happen. Sababu Yanga wamesajili wachezaji wazuri awamu hii yote ya Samia na wataendelea kusajili ifanye vizuri zaidi.
GSM WANAIPAMBANIA TEAM VIZURI NA MAZINGIRA YA KUWEKEZA ni mazuri. Sioni namna Simba itaweza kuja chukua Ubingwa awamu hii. Sioni kabisa.
Simba wasahau kabisa suala la kuchukua Ubingwa. It wont happen. Sababu Yanga wamesajili wachezaji wazuri awamu hii yote ya Samia na wataendelea kusajili ifanye vizuri zaidi.
GSM WANAIPAMBANIA TEAM VIZURI NA MAZINGIRA YA KUWEKEZA ni mazuri. Sioni namna Simba itaweza kuja chukua Ubingwa awamu hii. Sioni kabisa.