Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Simba SC ina Kikosi kipana, hii mechi ya tarehe 16 hakuna kuairishwa kwa kisingizio cha Waydad!
Kuna watu kuanzia tarehe 16 watakuwa na wiki ngumu sana, huku Yanga, siku nne mbele Waarabu wanakusubil!
Twende mbele wana Lunyasi😀😀
Kuna watu kuanzia tarehe 16 watakuwa na wiki ngumu sana, huku Yanga, siku nne mbele Waarabu wanakusubil!
Twende mbele wana Lunyasi😀😀