Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto kama uto wanaweweseka😄😃Wahi matibabu mapemaView attachment 3255069
HakikaWahi matibabu mapemaView attachment 3255069
Hicho kikosi kizuri ni kwa simba tu kwa MC sio kizuri?Tukiacha mahaba binafsi ya timu zetu! Tukubali tu Simba bado haina uwezo wa kuifunga Yanga iliyosheheni mastaa kibao kama Aziz Kii, Max Nzengeli, Prince Dube, Clement Mzize, Khalid Aucho, Ibra Baka, Dickson Job, na mastaa wengine wengi!!
Na ndiyo maana hata itokee Yanga ikafungwa, mashabiki wengi hatutegemei kuulaumu uongozi wa timu! Maana umetimiza wajibu wake kwa kusajili wachezaji wazuri. Badala yake lawama zitaenda kwa kocha aidha kwa kupanga kikosi dhaifu, au baadhi ya wachezaji kucheza chini ya kiwango.
Wahi matibabu mapemaView attachment 3255069