Simba hamtokaa mchukue Kombe wakati Eng. Hersi akiwa Rais wa Yanga

Simba hamtokaa mchukue Kombe wakati Eng. Hersi akiwa Rais wa Yanga

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.

Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli, kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora (Isiyotembeza bakuli). Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi, sasa taarifa ni kwamba hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari na wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga huenda ukalipa!.

ONYO :
Njoo kwa Tahadhari, mbele kuna kona kali!.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli,kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo!.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora(Isiyotembeza bakuli),Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi,sasa taarifa ni kwamba,Hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari Malaya na wasimbe wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga uenda ukalipa!.


ONYO :

Njoo kwa Tahadhari,mbele kuna kona kali!.
Usidhani anaweza kuleta ugaidi kirahisi.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli,kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo!.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora(Isiyotembeza bakuli),Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi,sasa taarifa ni kwamba,Hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari Malaya na wasimbe wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga uenda ukalipa!.


ONYO :

Njoo kwa Tahadhari,mbele kuna kona kali!.
Aahaaaaa
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli,kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo!.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora(Isiyotembeza bakuli),Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi,sasa taarifa ni kwamba,Hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari Malaya na wasimbe wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga uenda ukalipa!.


ONYO :

Njoo kwa Tahadhari,mbele kuna kona kali!.
Yanga hii iliyokandwa bao mbili na Simba?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli,kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo!.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora(Isiyotembeza bakuli),Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi,sasa taarifa ni kwamba,Hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari Malaya na wasimbe wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga uenda ukalipa!.


ONYO :

Njoo kwa Tahadhari,mbele kuna kona kali!.
Asee kula chuma hicho dunduka popote ulipokaa...
 
Na Kama sio mvua kugeuza mkapa pitch kuwa na utelezi Leo yanga angekuwa na kombe la caf confederation kabatini .
Second leg waarabu Mpaka wanafikia Hali ya kuficha Mpira kupoteza muda imeshangaza
Mkuu madunduka yalituroga
 
Yeye ni nanii?? Yeye ni nani?? Tuanze hapo...labda kama ana ubia na striker wa Tanzania nzima..
Woooow Kalpana miss u sooooooooooooooooooooooooooooooooooo..........😍😍😍😍😍😂😂😂
 
Back
Top Bottom