Simba hamtokaa mchukue Kombe wakati Eng. Hersi akiwa Rais wa Yanga

Simba hamtokaa mchukue Kombe wakati Eng. Hersi akiwa Rais wa Yanga

Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.

Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli, kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora (Isiyotembeza bakuli). Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi, sasa taarifa ni kwamba hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari na wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga huenda ukalipa!.

ONYO :
Njoo kwa Tahadhari, mbele kuna kona kali!.
Stering hapo utopolon kwa wala mihogo ni Ghaarib


Hersi ni chawa km chawa wengine


Ghaarib akivurugwa huyo hers anapelekwa kusimamia magodoro hapo analetwa mwingine na maisha yanaenda km hakuna kilichotokea
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.

Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli, kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora (Isiyotembeza bakuli). Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi, sasa taarifa ni kwamba hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari na wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga huenda ukalipa!.

ONYO :
Njoo kwa Tahadhari, mbele kuna kona kali!.
Hakuna viporo? Hakuna ubingwa
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.

Hutaki au unataka huo ndiyo ukweli, kama ni sumu nendeni mkakoroge mnywe kama hamtotaka maumivu kwa miaka 8 ijayo.

Simba haiwezi kamwe kuchukua ubingwa mbele ya Yanga iliyobora (Isiyotembeza bakuli). Mara zote Simba amekuwa akichukua ubingwa mbele ya Yanga yenye migogoro na inayoyumba kiuchumi.

Yanga huwa inachukua ubingwa mbele ya Simba bora isiyo na matatizo ya kiuchumi, sasa taarifa ni kwamba hili kombe la NBC PREMIER LEAGUE hamtokaa mchukue Kipindi chote cha utawala wa Eng Hersi na wenzie kwani wameisuka Yanga na haina migogoro.

Ponapona ya Simba Muombe Yanga ipate migogoro ndipo mtaweza kuchukua kombe lakini vinginevyo andikeni maumivu.

Endeleeni kumlipa Jemedari na wenzie wakoleze moto sawa sawa kwa kuiponda Yanga huenda ukalipa!.

ONYO :
Njoo kwa Tahadhari, mbele kuna kona kali!.
Mmmmmh. Kwa tofauti ya pointi tano ndo unatamba kiasi hiki.
 
Unadhani masuala ya mpira ni sawa na zile stories zako za uongo uongo?!

Wewe jikite katika kutunga uongo uongo wako wa hadithi njoo utamu kolea. Pumbunyo weee
 
Haya utakalia hayohayo, nabi kaondoka huko bado mayele nk .
 
Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa wafute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Back
Top Bottom