Simba hamtokaa mchukue Kombe wakati Eng. Hersi akiwa Rais wa Yanga

Mtaelewa soon Kwa Simba sio ya mchezo mchezo .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚DAAAAH

ILA MNAKOFIDENSI UTADHANI MKO TIMAMU KUMBE NI MAKASASA TU!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DAAAAH

ILA MNAKOFIDENSI UTADHANI MKO TIMAMU KUMBE NI MAKASASA TU![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Yanga Ina kipi Cha maana mkuu au kuitwa ikulu ndio kombe la Africa Acheni ushamba utopolo hamna lolote upepo tu .
 
Afya ya akili
 
Sasa Yanga Ina kipi Cha maana mkuu au kuitwa ikulu ndio kombe la Africa Acheni ushamba utopolo hamna lolote upepo tu .
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ila Makolo mna laana dadeeeki
 
Yeye ni nanii?? Yeye ni nani?? Tuanze hapo...labda kama ana ubia na striker wa Tanzania nzima..
Timu kubwa maaamaaa. Brandi! Wakubwa... Wakulu..... Ndio mana tunakataaga hapa kuwa Simba kama timu kubwa labda nchi nyingine huko lakini sio mbele ya yanga. Utatumiwa kijanaaa huu mziki mwingine... Topic inayohusisha jina letu wanaojadili wote mshibe. we are young Africans na si vinginevyo
 
Upumbavu nao ni kipaji,Yanga ina hazina kubwa ya wapumbavu
 
Mimi ngozi yangu ngumu sisikii maumivu...lete mishale hyo..
Leo situmii sumu ila nitatumia Korosho tu ili nikunase maana ulisema unapendaga sana Korosho!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaah huyo wewe huyooo...
Sawa bwana midabwada..
 
Leo situmii sumu ila nitatumia Korosho tu ili nikunase maana ulisema unapendaga sana Korosho!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi leo nalala mapema sipo lindo...korosho utanipitishia kesho mahali pale pale kwenye lindo langu...
 
Mkuu umevaa bullet proof?

Angalia usije pigwa shaba na Kalpana maana anazo hasira kama zote utadhani umemchukulia mumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi leo nalala mapema sipo lindo...korosho utanipitishia kesho mahali pale pale kwenye lindo langu...
Ningekupitishia ila sema nimesafiri nipo natafuta watoto hapa A - Town.
 
Sawa wape hi huko...
Nitakuletea Nyama za kwa-Mromboo ili angalau utafune utengeneze mwili,huo si mwili wako najua ni msongo unaoletelezwa na MadundukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…