Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Sio mm. Yanga hata iwe inakula ugali na Sukari timu nzima ikikutana na wanga fc lolote jibu. Mnachotuzodi labda uchawi tu na mwaka huu ndo kesi stadiDaaah huyo wewe huyooo...
Sawa bwana midabwada..
Hebu nenda bwana usituvuruge na uoga wenu wa mvua...kweli nyie vyura...na tutawaloga mpka muwe vilui lui..si mnatuita wachawi..Sio mm. Yanga hata iwe inakula ugali na Sukari timu nzima ikikutana na wanga fc lolote jibu. Mnachotuzodi labda uchawi tu na mwaka huu ndo kesi stadi
Hasira za nini weeeee mamamaaa🎶🎶......wataka kuniua bureeee mamaaaaa!🎶,Kwangu hayupoo kwako hayupoooooo.....chuki ya nini kati yangu mimi na weweeee🎶🎶🎶Hebu nenda bwana usituvuruge na uoga wenu wa mvua...kweli nyie vyura...na tutawaloga mpka muwe vilui lui..si mnatuita wachawi..
Poor analysis,mpira hauko hivyo,unless you are just wack fan.Hili utalijua baada ya miaka 6 iliyobaki ya Yanga kutawazwa mabingwa
Afya ya akiliKujiita Timing hukukosea,bila shaka kunyanduliwa unaliwa timing kwanza😂
Waarabu afrika wanajulikana sio hao mliocheza nao nyie, waarabu wenyewe mkicheza nao huwa mnakula 6Na Kama sio mvua kugeuza mkapa pitch kuwa na utelezi Leo yanga angekuwa na kombe la caf confederation kabatini .
Second leg waarabu Mpaka wanafikia Hali ya kuficha Mpira kupoteza muda imeshangaza
Na Kama sio mvua kugeuza mkapa pitch kuwa na utelezi Leo yanga angekuwa na kombe la caf confederation kabatini .
Second leg waarabu Mpaka wanafikia Hali ya kuficha Mpira kupoteza muda imeshangaza
Usm alikandwa kwake Mpaka akaleta Mbinu za kupoteza muda na Kama sio kuleta figisu Mechi ingeisha 2-0 na wewe unajua Hilo kwavile hutaki kukubali Maana Mwarabu Alizidiwa kila kitu mpaka na possessionSisi tulimkanda Wydad, kule kwao wakapoteana wakaanza kulia wachezaji na washabiki wao!!!!
Wewe unasemea Us Alger ambao walikukanda kwako!!!
Waarabu afrika wanaojulikana ni Nani ?Waarabu afrika wanajulikana sio hao mliocheza nao nyie, waarabu wenyewe mkicheza nao huwa mnakula 6
Hiyo mvua iliwaathiri nyinyi tu? Mvua ilianza tanguia asubuhi, kwakua nyinyi ni wenyeji na mnaujua vizuri huo uwanja ilitakiwa nyinyi ndio mnufaike, sio wageni.Na Kama sio mvua kugeuza mkapa pitch kuwa na utelezi Leo yanga angekuwa na kombe la caf confederation kabatini .
Second leg waarabu Mpaka wanafikia Hali ya kuficha Mpira kupoteza muda imeshangaza
Nikiongea kiufundi zaidi na kiuhalisia inawezekana viatu vya Baadhi ya wachezaji wa yanga Kama sio wote havikuwa maalumu kwa uchezaji wa Hali iliyokuwepo uwanjani ya utelezi .Hiyo mvua iliwaathiri nyinyi tu? Mvua ilianza tanguia asubuhi, kwakua nyinyi ni wenyeji na mnaujua vizuri huo uwanja ilitakiwa nyinyi ndio mnufaike, sio wageni.
Mlipoteza kubalini.
Na hii ndio sababu haswa, hapo ulaumiwe uongozi wa team.Nikiongea kiufundi zaidi na kiuhalisia inawezekana viatu vya Baadhi ya wachezaji wa yanga Kama sio wote havikuwa maalumu kwa uchezaji wa Hali iliyokuwepo uwanjani ya utelezi .