Simba hapo vipi??

Mleta mada, hapo vipi? Kuna ya kibegi sijui niliipotezea wapi, wengi hawakuishtukia na mimi nikaikaushia

 
-Matumizi ya hela za kuingia robo na group stage kila mwaka hayapo.
-Hela ya mgawo wa African football league hayapo wazi
-Matangazo ya biashara Mo kifuani hamna maelezo ya maana
-Matangazo ya bahati nasibu mfalme bingwa na shabiki bingwa haijulikani ni mradi wa nani na wameingiza kiasi gani na matumizi ni nini.

Halafu leo unaambiwa hela ya michango ya ujenzi wa uwanja ilitumika kuweka uzio na matumizi ya kambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…