Simba hata mil 5 ya mama mmeikosa aibu sana

Simba hata mil 5 ya mama mmeikosa aibu sana

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Hata haichekeshi
 
Kilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama

Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji

Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa

Tykutanee

Amaan stadium
Akili za mtanganyika zimeishia kushabikia Simba na yanga
 
Kilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama

Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji

Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa

Tykutanee

Amaan stadium
Amani complex
 
Kilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama

Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji

Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa

Tykutanee

Amaan stadium
Pdidy nasikia umekamatwa huko america .
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Mie nilijua kichaa kimepona kumbe kimerudi tena?. Pole Sana ' Mental health is real'.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Aka

Panyaroad

Cc
Alikamwe
 
Vipi wale waliocheza na Mabank teller wa Ethiopia na kubahatisha gori moja.Watanzania mijinga sana kutwa kucha Yanga na Simba mnazipa kipaumbele kuliko familia zenu.Hizo milioni tano kuna watoto wanakunya vichakani baada ya kujenga mtundu ya choo,mnawapa akina Mutale matokeo timu imekuwa mzigo.Taifa la laana.
Ukweli usemwe japo ni mchungu Simba hakuna mpira
 
Mama yenu angeisaidia zaidi Simba kwa kuwapa ndege ya kufika Libya moja kwa moja kuliko huko tumilioni ambazo unaweza kusema kabisa ni ufujaji na matumizi mabaya ya mali za umma
Hiooo ndege ingetumia mkojoooo kwenda hukooo??parking fees landing fees crew allowances zile n pesa za ibada eeh??si pesa za umma

Kama mmehaidiwa tutiliontutanokila goli tungewapa ndege si laanaaa
 
Vipi wale waliocheza na Mabank teller wa Ethiopia na kubahatisha gori moja.Watanzania mijinga sana kutwa kucha Yanga na Simba mnazipa kipaumbele kuliko familia zenu.Hizo milioni tano kuna watoto wanakunya vichakani baada ya kujenga mtundu ya choo,mnawapa akina Mutale matokeo timu imekuwa mzigo.Taifa la laana.
Ongea yote mkuu hata kimasai, Simba hakuna mpira
 
Back
Top Bottom