Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Huyo hana pesa za kutupa sisi. Tumeona abaki nazo zimsaidie kuchukulia hiyo fomu 1.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata haichekeshiSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Akili za mtanganyika zimeishia kushabikia Simba na yangaKilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama
Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji
Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa
Tykutanee
Amaan stadium
Amani complexKilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama
Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji
Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa
Tykutanee
Amaan stadium
Bwahaaaaaaaah...😂Hata haichekeshi
Pdidy nasikia umekamatwa huko america .Kilichosononesha wachezaji sio drw n kukosa mil 5 ya goli la mama
Hii kwao ilikuwa kama mateso makubwa na kingine kila anaefika mbele anataka kushinda yeye utasema mil 5 anapewa mchezaji
Msipojirekebisha mtaaibika kwa mkapa mazimaaaa
Tykutanee
Amaan stadium
Mie nilijua kichaa kimepona kumbe kimerudi tena?. Pole Sana ' Mental health is real'.Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Mpira wa Simba hautazamwi na Mamburula na Mediocres wa mpira.Jana hata sikupoteza muda wa kuangalia mpira,. Nikasikia matokeo
Andika hata kimang'ati ila nikiwa Utopolo Mwandamizi moto ni ule ule kwenu Makolokolo 😅Mie nilijua kichaa kimepona kumbe kimerudi tena?. Pole Sana ' Mental health is real'.
Kweli kabisa, hata Simba SC hadhi yake ni Club bingwa Africa na sio hicho kikombe Cha looser 😅😅 ndio maana wameona wafanye ku draw tuMilioni 5 ndogo sana kwa ssc
AkaSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC. View attachment 3097594
Ukweli usemwe japo ni mchungu Simba hakuna mpira
Hiooo ndege ingetumia mkojoooo kwenda hukooo??parking fees landing fees crew allowances zile n pesa za ibada eeh??si pesa za ummaMama yenu angeisaidia zaidi Simba kwa kuwapa ndege ya kufika Libya moja kwa moja kuliko huko tumilioni ambazo unaweza kusema kabisa ni ufujaji na matumizi mabaya ya mali za umma
😅😅 Simba hawapendi show off, ndio maana hata pre season waliamua Fanya machakani huko hawakuta kujioneshaHata uwatangazie mil 20 kila goli hakuna kitu hapo
Ongea yote mkuu hata kimasai, Simba hakuna mpiraVipi wale waliocheza na Mabank teller wa Ethiopia na kubahatisha gori moja.Watanzania mijinga sana kutwa kucha Yanga na Simba mnazipa kipaumbele kuliko familia zenu.Hizo milioni tano kuna watoto wanakunya vichakani baada ya kujenga mtundu ya choo,mnawapa akina Mutale matokeo timu imekuwa mzigo.Taifa la laana.
Ally kamwe alishawaita Makolokolo panyaroad? Kama ni kweli niongeze jina lao hapo kwenye nick names zao Watani zangu 🤣Aka
Panyaroad
Cc
Alikamwe
Ongea yote mkuu hata kimasai, Simba hakuna mpira