Simba hata mil 5 ya mama mmeikosa aibu sana

Hata haichekeshi
 
Akili za mtanganyika zimeishia kushabikia Simba na yanga
 
Amani complex
 
Pdidy nasikia umekamatwa huko america .
 
Mie nilijua kichaa kimepona kumbe kimerudi tena?. Pole Sana ' Mental health is real'.
 
Aka

Panyaroad

Cc
Alikamwe
 
Vipi wale waliocheza na Mabank teller wa Ethiopia na kubahatisha gori moja.Watanzania mijinga sana kutwa kucha Yanga na Simba mnazipa kipaumbele kuliko familia zenu.Hizo milioni tano kuna watoto wanakunya vichakani baada ya kujenga mtundu ya choo,mnawapa akina Mutale matokeo timu imekuwa mzigo.Taifa la laana.
Ukweli usemwe japo ni mchungu Simba hakuna mpira
 
Mama yenu angeisaidia zaidi Simba kwa kuwapa ndege ya kufika Libya moja kwa moja kuliko huko tumilioni ambazo unaweza kusema kabisa ni ufujaji na matumizi mabaya ya mali za umma
Hiooo ndege ingetumia mkojoooo kwenda hukooo??parking fees landing fees crew allowances zile n pesa za ibada eeh??si pesa za umma

Kama mmehaidiwa tutiliontutanokila goli tungewapa ndege si laanaaa
 
Ongea yote mkuu hata kimasai, Simba hakuna mpira
 
Aka

Panyaroad

Cc
Alikamwe
Ally kamwe alishawaita Makolokolo panyaroad? Kama ni kweli niongeze jina lao hapo kwenye nick names zao Watani zangu 🀣

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…