Simba hatuna chetu msimu huu!

Simba hatuna chetu msimu huu!

Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting

nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni

nikiwa na uhakika na hili jambo wewe kama unabisha sawa unitukane sawa lakini mwisho ya yote saa tatu jioni nitarudi kuthibitisha hili hapa jukwaani kwa kile ninacho enda kukisema saivi

IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.

2. Kuna tukio litatokea la ajabu uwanjani litaongelewa wiki nzima kuanzia kesho jumatatu kila kona ya nchi na kwenye vyombo mbali mbali vya habari

UPANDE WA SIMBA:

1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani

2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.

Mwisho! hata mimi ni mwanasimba lakin hizi taarifa zinaumiza

moderator: naomba msiunganishe huu uzi ili uwe reference pale baada ya mechi kutamatika kila mmoja aje Kuniprove wrong.
MAKOMBE YAMEANZA KURUDI TUMEANZA NA NGAO MMELALA LABDA MUMCHEZESHE MANARA
 
Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting

nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni

nikiwa na uhakika na hili jambo wewe kama unabisha sawa unitukane sawa lakini mwisho ya yote saa tatu jioni nitarudi kuthibitisha hili hapa jukwaani kwa kile ninacho enda kukisema saivi

IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.

2. Kuna tukio litatokea la ajabu uwanjani litaongelewa wiki nzima kuanzia kesho jumatatu kila kona ya nchi na kwenye vyombo mbali mbali vya habari

UPANDE WA SIMBA:

1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani

2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.

Mwisho! hata mimi ni mwanasimba lakin hizi taarifa zinaumiza

moderator: naomba msiunganishe huu uzi ili uwe reference pale baada ya mechi kutamatika kila mmoja aje Kuniprove wrong.
Mcha MBUZI ukowapi
 
Kwa ufupi huu sio utabiri isipokuwa nimeita utabiri kutokana na dhana ilivyo kwa sasa ,hasa kipindi hiki cha betting

nikiwa naandika uzi huu hivi sasa ni saa 11 Na dakika 7 jioni, mechi ya simba na yanga inaenda kuchezwa pale mkwakwani tanga majira ya saa 1 Kamili jioni

nikiwa na uhakika na hili jambo wewe kama unabisha sawa unitukane sawa lakini mwisho ya yote saa tatu jioni nitarudi kuthibitisha hili hapa jukwaani kwa kile ninacho enda kukisema saivi

IKO HIVI:
1. Yanga anaenda kuwa BINGWA WA NGAO YA JAMII PALE MKWAKWANI TANGA, nina uhakika asilimia 100, wanasimba wenzangu hata msipoteze muda , kivyovyote itakavyokuwa YANGA BINGWA.

2. Kuna tukio litatokea la ajabu uwanjani litaongelewa wiki nzima kuanzia kesho jumatatu kila kona ya nchi na kwenye vyombo mbali mbali vya habari

UPANDE WA SIMBA:

1. Msimu jana reference ya ubovu wa kikosi simba ilikuwa ni SAWADOGO, msimu huu reference ya ubovu wa simba itakuwa kwa mchezaji fulani alisajiliwa kwa mbwembwe sana , leo atapoteana kila mwanasimba hatakuwa tayari hata kumuona tena uwanjani

2. Utakuwa mwanzo wa kukosa makombe yote ya ndani.

Mwisho! hata mimi ni mwanasimba lakin hizi taarifa zinaumiza

moderator: naomba msiunganishe huu uzi ili uwe reference pale baada ya mechi kutamatika kila mmoja aje Kuniprove wrong.
Wewe ni mwanasimba wa mchongo. Rudi kwenye timu yako ya UTOPOLO hatukutaki
 
MAKOMBE YAMEANZA KURUDI TUMEANZA NA NGAO MMELALA LABDA MUMCHEZESHE MANARA
Mechi mbili goal 0 short on tagert hazizidi tano. Sijui kama NBC inafika hadi hatua ya penati, ila kama ingekuwa ni ligi tayari point 4 zimedondoshwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mgonjwa wa akili
 
Wanaojisifia timu nzuri wako hoiii wamolouwaaaa...wanafurahi kufika kwny goal bila tactics hawajipangi wanabutua tuu...wazee wa off side

Endelea kuugua huko ulipo , Topolo la hovyo
 
Wanaojisifia timu nzuri wako hoiii wamolouwaaaa...wanafurahi kufika kwny goal bila tactics hawajipangi wanabutua tuu...wazee wa off side
Sasa hivi wanasema kwao mpira ni burudani na siyo magoli
 
Hii tukubaliane tu mleta andiko .HAIJAENDA hii.
 
Back
Top Bottom