Simba hatuna namba 6 ya maana na hatuchezi kiteam

Wangekusikiliza yasingewakuta ya leo..!! Haiwezekani Mayele alipe deni halafu awakopeshe moja..!! Halafu haiwezekani Inonga ambaye alisemekana ndo kiboko ya Mayele, goli la pili lianzie kwenye tobo lake halafu liende nyavuni..!! Dhisi izi ani insaliti..!!
 
Viongozi wenu walikuwa bize na mkutano wa CAF[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…