Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Kweli kabisaSimba ni club kubwa hilo halina ubishi...hata mtukejeli vipi huo ndo ukweli...matokeo ya mpira haya ni nani hajawai kupigwa??
-Robertinho haondoki
-Gari kurudi kinyume nyume ni mbwembwe kama mbwembwe zingine acheni kuamini kila kitu ni ushirikina.
-Jezi zije tuu mimi ninataka pea kumi
-Mkimrudisha kisinda kwao na Sawadogo nae atarudi
Mkuu we ni noma kwenye utabiriUto [emoji1639]- Tp 3,
Huyo aliechora ana kiteteKweli kabisaView attachment 2529151
Nitajie sifa muhimu za timu kubwa sio kila siku ukiammka tu kabla hata haujanawa uso unasema simba timu kubwa kivip labda mkuuSimba ni club kubwa hilo halina ubishi...hata mtukejeli vipi huo ndo ukweli...matokeo ya mpira haya ni nani hajawai kupigwa??
-Robertinho haondoki
-Gari kurudi kinyume nyume ni mbwembwe kama mbwembwe zingine acheni kuamini kila kitu ni ushirikina.
-Jezi zije tuu mimi ninataka pea kumi
-Mkimrudisha kisinda kwao na Sawadogo nae atarudi
Tafuta hata kwenye google..Nitajie sifa muhimu za timu kubwa sio kila siku ukiammka tu kabla hata haujanawa uso unasema simba timu kubwa kivip labda mkuu
Naitaj ww unambie maana umesema tena ukiwa unatoa mapovu kuwa simba ni timu kubwa nimekuulisa kivip unaanza kutoa sababu za kipopoma kuwa nikatafte GoogleTafuta hata kwenye google..
Kwani lazima nikujibu?? Au ni chuki kisa Yanga sio timu kubwa🙂....mbona unaleta na ww utopolo..najua unajua vigezo vya timu kuitwa kubwa so kama unavijua sina haja ya kukuelezea tena..naona kilichopo unataka tubishane Simba anavyo au hana...na kwa sbb ww tayari unajibu lako kuwa Simba hana kaa na jibu lako...na mimi acha nikae na jibu langu...Naitaj ww unambie maana umesema tena ukiwa unatoa mapovu kuwa simba ni timu kubwa nimekuulisa kivip unaanza kutoa sababu za kipopoma kuwa nikatafte Google