Simba hebu Njooni mjibu haya Maswali

Simba hebu Njooni mjibu haya Maswali

Simba ni club kubwa hilo halina ubishi...hata mtukejeli vipi huo ndo ukweli...matokeo ya mpira haya ni nani hajawai kupigwa??
-Robertinho haondoki
-Gari kurudi kinyume nyume ni mbwembwe kama mbwembwe zingine acheni kuamini kila kitu ni ushirikina.
-Jezi zije tuu mimi ninataka pea kumi
-Mkimrudisha kisinda kwao na Sawadogo nae atarudi
Kweli kabisa
JamiiForums1047459295.jpg
 
Namba 1 huo wimbo wa makolo Sasa ni zilipendwa , Hawataki kusikia , Hilo swali halina jibu, mwarabu Raja alimkanda mnyama bila huruma home kwake kwa Mkapa, makolo wanacheza weee, mwarabu akishika boli ni goli! Hadi chuma tatu zikatimia mbumbumbu wakarudi msimbazi wameloaaaa! Jiji likatulia kelele za honi za bodaboda hakuna makolo wote wakubwa kwa wadogo kimyaaaaa!!
 
Simba ni club kubwa hilo halina ubishi...hata mtukejeli vipi huo ndo ukweli...matokeo ya mpira haya ni nani hajawai kupigwa??
-Robertinho haondoki
-Gari kurudi kinyume nyume ni mbwembwe kama mbwembwe zingine acheni kuamini kila kitu ni ushirikina.
-Jezi zije tuu mimi ninataka pea kumi
-Mkimrudisha kisinda kwao na Sawadogo nae atarudi
Nitajie sifa muhimu za timu kubwa sio kila siku ukiammka tu kabla hata haujanawa uso unasema simba timu kubwa kivip labda mkuu
 
Tafuta hata kwenye google..
Naitaj ww unambie maana umesema tena ukiwa unatoa mapovu kuwa simba ni timu kubwa nimekuulisa kivip unaanza kutoa sababu za kipopoma kuwa nikatafte Google
 
Naitaj ww unambie maana umesema tena ukiwa unatoa mapovu kuwa simba ni timu kubwa nimekuulisa kivip unaanza kutoa sababu za kipopoma kuwa nikatafte Google
Kwani lazima nikujibu?? Au ni chuki kisa Yanga sio timu kubwa🙂....mbona unaleta na ww utopolo..najua unajua vigezo vya timu kuitwa kubwa so kama unavijua sina haja ya kukuelezea tena..naona kilichopo unataka tubishane Simba anavyo au hana...na kwa sbb ww tayari unajibu lako kuwa Simba hana kaa na jibu lako...na mimi acha nikae na jibu langu...
 
Back
Top Bottom