Sahihi kabisa me simuelewi sawa tunatakiwa kushinda nyakati ngumu lakini timu hata kumiliki mpira inashindwaMgunda kaipeleka timu group stage kibabe ila huyu kocha mpya itaitoa Simba group stage kwa aibu kubwa,tangia kaja sijaona alichoongeza kwenye timu,sijaona sijaona.
Wewe si ulitaka Mgunda atoke..Mgunda kaipeleka timu group stage kibabe ila huyu kocha mpya itaitoa Simba group stage kwa aibu kubwa,tangia kaja sijaona alichoongeza kwenye timu,sijaona sijaona.
Viongozi wa Simba ni hovyo.kocha mpya wa nini wakati ilitakiwa waachane na mizigo kama Kibu,Muzamiru,Oatara,Nyoni n,k kisha wasajili wachezaji wa uhakika sio sajili za ujanja ujanja.kocha akabaki Gunda mbona boli ingetembea fresh tu.Sahihi kabisa me simuelewi sawa tunatakiwa kushinda nyakati ngumu lakini timu hata kumiliki mpira inashindwa
tafuta iyo comment yangu niliyosema Gunda atoke alafu iweke hapa nione.Wewe si ulitaka Mgunda atoke..
Kwa wachezaji gani wa first eleven waliocheza jana?Mpira wa Jana na Dodoma Jiji Yes Tumeshinda lakini Mwanasimba yeyote hajafurahi sana kwa sbb uwezo wa kupass ulipotea kabisa jana. Hakuna mchezaji hata mmoja wa Simba aliyewez kuwa na utulivu. Simba why hawawez kufanya passing passing kuwa creative kwa maana hiyo michezo ya CAF inayokuja kazi tunayo aisee.
Mfumo wa 4-4-2 hautulipi kabisa.
Jana SAIDO hakuwa na utulivu kwa sbb ya mfumo why tusicheza na striker mmoja ili kubalance ktkt. Robertinho aambiwe kuwa timu inahtaj utulivu kuliko kubutuaaa tu
Zaidi ya 60% ya first 11 ya Simba hawakucheza. Halafu wewe ndombolo ya solo unakuja kutupayukia humu.Yaani tunavyocheza saivi ni bora kupoteza mechi ukiwa na mgunda kocha mkuu kuliko kushinda mechi ukiwa na robertinho kama kocha mkuu π ,......tunashinda lakini furaha hakuna game ya pili hii tangu achukue timu tunashinda huku timu pinzani ikiongoza kwa possession, tunaomba mpira uishe huku tukijilinda muda wote
Game ya mbeya city ukiondoa phiri na innonga waliosalia wote walikuwepo nadhani uliona kilichotokea.Zaidi ya 60% ya first 11 ya Simba hawakucheza. Halafu wewe ndombolo ya solo unakuja kutupayukia humu.
Innonga
Onyango
Kanoute
Sakho
Chama
Phili
Mzamiru
Wote hao hawakuwemo Sababu mbalimbali ikiwemo kukanyangwa na mahasimu wa simba na kuumizwa.
Sasa unacholalamikia nini. Mbeya City ipo nafasi ya 8 Dodoma jiji nafasi 12. Unataka mpira uchezwe kama netball?Game ya mbeya city ukiondoa phiri na innonga waliosalia wote walikuwepo nadhani uliona kilichotokea.
Ni Simba ipi ambayo mlikuwa na uhakika wa Kubaki CAF? Mishabiki mipumbavu kama ninyi hata huku Yanga ipo. Kuna match au viwanja unahitaji points 3 tu. Huo Upuuzi wenu msije zungumzia na Yanga. Mi nawachana tu mapoyoyo nyie πMpira wa Jana na Dodoma Jiji Yes Tumeshinda lakini Mwanasimba yeyote hajafurahi sana kwa sbb uwezo wa kupass ulipotea kabisa jana. Hakuna mchezaji hata mmoja wa Simba aliyewez kuwa na utulivu. Simba why hawawez kufanya passing passing kuwa creative kwa maana hiyo michezo ya CAF inayokuja kazi tunayo aisee.
Mfumo wa 4-4-2 hautulipi kabisa.
Jana SAIDO hakuwa na utulivu kwa sbb ya mfumo why tusicheza na striker mmoja ili kubalance ktkt. Robertinho aambiwe kuwa timu inahtaj utulivu kuliko kubutuaaa tu