Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Mimosas ni wazuri na wana historia, Berkane mnawafahamu ni noma ,hiyo timu ya Niger labda nafuu.
Ili Simba iongoze kundi inabidi ifanye nini?
Hii timu ya Niger ipigwe nje ndani,
Berkane na Mimosas wapigwe kwa mkapa draw away.
Au mahesabu yapangwe vipi?
Wale wa kidimbwi hii thread haiwahusu huwezi kumshauri aliyekuzidi mafanikio
View attachment 2060551
Ili Simba iongoze kundi inabidi ifanye nini?
Hii timu ya Niger ipigwe nje ndani,
Berkane na Mimosas wapigwe kwa mkapa draw away.
Au mahesabu yapangwe vipi?
Wale wa kidimbwi hii thread haiwahusu huwezi kumshauri aliyekuzidi mafanikio
View attachment 2060551