Simba iachane na hawa wachezaji

Fact vingi umeongea ukweli nashindwa kuelewa mutale hivi kapatwa na mini

Pia kibu wakati mwingine acheze kitimu bado ana kaubinafsi pia binafsi naona kiungo cha okejepha na mavambo ndo kinaweza tuliza timu ila fadlu anaonekana kutokumkubali okejepha
Sio kutomkubali swala ni mfumo hao watu wawili hawawezi kucheza pamoja wote hao ni namba nane, lazima mmoja aanze na pure namba sita kama kagoma
 
Sio kutomkubali swala ni mfumo hao watu wawili hawawezi kucheza pamoja wote hao ni namba nane, lazima mmoja aanze na pure namba sita kama kagoma
Hapana mkuu okejepha alikuja kama namba 6 kiungo mkabaji okejepha hajawahi kuwa no 8 angalia
 

Attachments

  • Screenshot_20240928-182100_1727536888929.jpg
    150.9 KB · Views: 4
Na safari hii tumeshtuka kweli. Labda wamchukue Fred Koublan na yule mwenzake waliekuwa wanabadilishana namba!
 
Kibun Denis ndiye pumzi ya Simba sasa hiVi
 
Mimi ukinipa nafasi ya kuchomoa mchezaji yanga to simba ni max asee yule jamaa anajua ball haswa,anacheza kama navyofkria mimi nikiwa uwanjani oyaa👊✊
 
Mutale na Iddy Nado wa Azam
 
Kijilii ni baiskeli iliyokatika breki
Kijili yeye anajua kukimbia tu,ile siku ya mechi na al alhy tripoli kipindi balua anakimbia na mpira, kijili alikimbia kumpita balua akampita na beki bahati nzuri balua akatumia akili akafunga mwenyewe,kijili alipaswa kukaa sawa na balua siyo kukimbia kumzidi mwenye mpira ili kuepusha offside
 
Memkwa haohao waliowakanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…