Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,181
- 1,579
Nakubaliana kwamba huwezi uwe na ma-striker aina ya Boko, Kagere, na Mugaru, halafu tena utake kuchukua klabu bingwa au shirikisho. Huko ni kujenga gorofa wakati huna pesa.
Lakini hutafanya hivyo pia ukiwa na kocha ambae hajui hata kupanga kikosi chake kinachoanza. Namaanisha hana kikosi maalum cha mauaji.
Wala hajui kwamba huyu mchezaji sasa nimtoe, maana haisaidii timu, na makosa mengine kibao. Ndiposa nashauri kwamba Simba iachane naye kungali mapema.
Kwa maana huyu hata ubingwa wa ligi yetu ya wa-hapahapa hachukui, nini shirikisho.
Mwisho: Jamani mkitaka kuwa na mafanikio kwenye mashindano makubwa sajirini wachezaji wazuri, acheni kushobokea sana makocha wa ulaya.
Mbona kuna makocha wazuri wa ligi yetu ya wa-hapahapa wakikupangia kikosi huchomoki.
Haya jamani, msije kusema sikuwaambia!
Lakini hutafanya hivyo pia ukiwa na kocha ambae hajui hata kupanga kikosi chake kinachoanza. Namaanisha hana kikosi maalum cha mauaji.
Wala hajui kwamba huyu mchezaji sasa nimtoe, maana haisaidii timu, na makosa mengine kibao. Ndiposa nashauri kwamba Simba iachane naye kungali mapema.
Kwa maana huyu hata ubingwa wa ligi yetu ya wa-hapahapa hachukui, nini shirikisho.
Mwisho: Jamani mkitaka kuwa na mafanikio kwenye mashindano makubwa sajirini wachezaji wazuri, acheni kushobokea sana makocha wa ulaya.
Mbona kuna makocha wazuri wa ligi yetu ya wa-hapahapa wakikupangia kikosi huchomoki.
Haya jamani, msije kusema sikuwaambia!