Simba iache kuokoteza wachezaji majalalani

Simba iache kuokoteza wachezaji majalalani

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you.

Simba wamejiaibisha sana sana!

Michuano hiyo mepesi sana inashirikisha team dhaifu mno ambazo laiti Yanga na wenzao kina Al ahly, Mamelodi na Esperence wangeshiriki basi wangekuwa wanajipigia watu kila siku huko!

Sasa Simba wao wameshindwa hata kuvumilia kubana miguu wameachia huko huko kwa mwarabu yaani mwarabu na msuli wake kapiga mikwaju yake ya kutosha kawaacha waondoke!

Aibu sana wakuu shida ya Simba ipo hapa chini maana wanashindwa hata kuwafunga FC Constantine watawezaje kushiriki tena huku kwa wanaume CAFCL?

Hivi ukimuangalia Kibu Denis mwenye mwaka na miezi inakimbilia miaka miwili hajafunga goli unadhani walimuokota wapi kama sio Mbeya maporini huko?

Ukimuangalia Ahoua walimuokota wapi?

Hebu nenda kwa okajepha

Soma Pia: Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024
 
mama kubwa ukimaliza kupika uongee na maboss wenu waache kuokota wachezaji majalalani
 
I salute you.

Leo ndiyo tumejua kuwa Ingekuwa ngumu sana baba afe na ukimwi na mama apone

Hata kama atatumia mifuko ya mikate kama kondomu!

Simba wamejiaibisha sana sana!

Michuano hiyo mepesi sana inashirikisha team dhaifu mno ambazo laiti Yanga na wenzao kina Al ahly, Mamelodi na Esperence wangeshiriki basi wangekuwa wanajipigia watu kila siku huko!

Sasa Simba wao wameshindwa hata kuvumilia kubana miguu wameachia huko huko kwa mwarabu yaani mwarabu na msuli wake kapiga mikwaju yake ya kutosha kawaacha waondoke!

Aibu sana wakuu shida ya Simba ipo hapa chini maana wanashindwa hata kuwafunga wajinga na luza kama hao FC Constantine watawezaje kushiriki tena huku kwa wanaume CAFCL?

KUOKOTA WACHEZAJI MAJALALANI..

Hii. Ndiyo sababu kuu ya kuanguka kwao, wanaokota okota wakimbizi na machinga huko majalalani na kuisifia na kudanganya wamepata wacchezaji mashine..

Mifano ipo mingi sana hivi ukimuangalia Kibu Denis mwenye mwaka na miezi inakimbilia miaka miwili hajafunga goli unadhani walimuokota wapi kama sio Mbeya maporini huko?

Ukimuangalia Ahoua na jicho nyanya lile unadhani walimuokota wapi kama sio huko kwao majalalani kwa wavuta ndumu na wapiga debe West Africa uko?

Hebu nenda kwa okajepha yaani teja sio teja na mwizi sio mwizi au tuseme kibaka!

Inasemekana Simba walipoenda Nigeria huko mitaaani wakiokota okota wachezaji ndipo huyo mwamba aliposikia dili hilo haraka akatafuta jezi na njumu akatinga na mpira wa kuzugia akajifanya kupiga control ndipo Simba kama kawaida yao wakamuokota!

Soma Pia: Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

Kwahiyo waache hii tabia haraka la sivyo muarabu akija tena hapa Tanzania mishenyeto itaendelea zaidi ya mikwaju waliyopewa leo na alkasusu mwafabu atakuja na chupa zisizopungua 12!

Katika kuhakikisha ushenyentaji unakuwa wa kiwango kikubwa ...
Naunga mkono hoja
 
I salute you.

Simba wamejiaibisha sana sana!

Michuano hiyo mepesi sana inashirikisha team dhaifu mno ambazo laiti Yanga na wenzao kina Al ahly, Mamelodi na Esperence wangeshiriki basi wangekuwa wanajipigia watu kila siku huko!

Sasa Simba wao wameshindwa hata kuvumilia kubana miguu wameachia huko huko kwa mwarabu yaani mwarabu na msuli wake kapiga mikwaju yake ya kutosha kawaacha waondoke!

Aibu sana wakuu shida ya Simba ipo hapa chini maana wanashindwa hata kuwafunga FC Constantine watawezaje kushiriki tena huku kwa wanaume CAFCL?

Hivi ukimuangalia Kibu Denis mwenye mwaka na miezi inakimbilia miaka miwili hajafunga goli unadhani walimuokota wapi kama sio Mbeya maporini huko?

Ukimuangalia Ahoua walimuokota wapi?

Hebu nenda kwa okajepha
Ukweli huu sema watabisha
 
Sawa
FB_IMG_1733682401993.jpg
 
I salute you.

Simba wamejiaibisha sana sana!

Michuano hiyo mepesi sana inashirikisha team dhaifu mno ambazo laiti Yanga na wenzao kina Al ahly, Mamelodi na Esperence wangeshiriki basi wangekuwa wanajipigia watu kila siku huko!

Sasa Simba wao wameshindwa hata kuvumilia kubana miguu wameachia huko huko kwa mwarabu yaani mwarabu na msuli wake kapiga mikwaju yake ya kutosha kawaacha waondoke!

Aibu sana wakuu shida ya Simba ipo hapa chini maana wanashindwa hata kuwafunga FC Constantine watawezaje kushiriki tena huku kwa wanaume CAFCL?

Hivi ukimuangalia Kibu Denis mwenye mwaka na miezi inakimbilia miaka miwili hajafunga goli unadhani walimuokota wapi kama sio Mbeya maporini huko?

Ukimuangalia Ahoua walimuokota wapi?

Hebu nenda kwa okajepha
Upeo wako ni mdogo Mno! Wewe ungeishia tu ,kushangilia Simba kafungea hayo mengine ungekaa kimyaa!
 
Back
Top Bottom