Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
Costantine na MC Alger nani yuko juu kwenye msimamo kama sio mnapigilia msumari kwamba wenye akili ni wawili,wewe kweli kichwa chako ni pancha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja zake atuna cha kukusaidia sisi kwa kejeli zako!Utopolo wenye akili ni wawili
Goli lenyewe sasa ata mpigaji alipigwa na butwaa kuona amefunga🤣🤣🤣Bora SimbaSC amepata goli ugenini, kuliko nyie mateja hata shot on target katika mechi mbili mlipata moja.
Kumbe hata wewe babu huna kumbukumbu kwa kiwango hiki?!Simba hajawahi kufurukuta kwenye ardhi ya Waarabu. Kwa hiyo mashabiki kuweni tu wapole.
Unapotaja mechi 2 point 0 pia uweke na aina ya michuano wanayocheza wenzenu na mnayocheza nyie ili tuweke kumbukumbu vizuri!Mechi 2 point 0🤣🤣🤣
Ahaa kwa hyo michuano ya club bingwa afrika ni migumu kwenu.?🤣🤣🤣.vibonde sasa mbona mmeingia choo Cha kike.Unapotaja mechi 2 point 0 pia uweke na aina ya michuano wanayocheza wenzenu na mnayocheza nyie ili tuweke kumbukumbu vizuri!
Kama sio migumu wewe ulishindwa nini kucheza iyo michuano?Ahaa kwa hyo michuano ya club bingwa afrika ni migumu kwenu.?🤣🤣🤣.vibonde sasa mbona mmeingia choo Cha kike.
SEMA Bora mmekiri
sasa mmeenda kufanya Nini huko 🤣🤣🤣.na mnajua michuano ni migumu.au mmeenda kutalii?Kama sio migumu wewe ulishindwa nini kucheza iyo michuano?
Vipi nyie mmeenda kutalii? Mlienda kufanya nini kwenye michuano ya rede si Bora mngebaki bunju!sasa mmeenda kufanya Nini huko 🤣🤣🤣.na mnajua michuano ni migumu.au mmeenda kutalii?
Point 3 magoli 2.Vipi nyie mmeenda kutalii? Mlienda kufanya nini kwenye michuano ya rede si Bora mngebaki bunju!
Nimekwambia point 3 na magoli 2 uliyapata dhidi ya timu za aina Gani?Point 3 magoli 2.
Haya nyie.
Nyie hata hilo goli la penati hamnaa.Nimekwambia point 3 na magoli 2 uliyapata dhidi ya timu za aina Gani?
Ulinusurika kupiga na WA Angola kabla ya kigoli cha penalty kukubeba,,Aya kule Algeria umefunga kigoli cha alhamdulilah ata Tshabalala mwenyewe alishangaa amefungaje🤣🤣
Magoli ya penalty ya nini bwana ni aina ya magoli yanayodumaza,,Nyie hata hilo goli la penati hamnaa.
Rudini shirikishoMagoli ya penalty ya nini bwana ni aina ya magoli yanayodumaza,,
Nipe takwimu. Ila tu isiwe ile ya kumtoa Zamaleki kwa mikwaju ya penati. Naongelea ushindi kama ule wa Yanga dhidi ya USM Algier.Kumbe hata wewe babu huna kumbukumbu kwa kiwango hiki?!
Haya maneno yote yametoka wapi tena! Mimi nimeiongelea simba, ya kwamba haijawahi kufurukuta kwenye ardhi ya Waarabu! Yaani haina historia ya kushinda. Na kama nimesema uongo, unaweka tu ushahidi wako; halafu unakuwa mshindi.Kweli nyie HAMNAZO! Wote mmecheza kwenye Nchi moja, kwa Waarabu, wote mmefungwa. Cha kushangaza, aliyefungwa 2:0, anajiona kafanya vizuri kuliko aliyefungwa 2:1.