Simba iache kuokoteza wachezaji majalalani

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
 
Nipe takwimu. Ila tu isiwe ile ya kumtoa Zamaleki kwa mikwaju ya penati. Naongelea ushindi kama ule wa Yanga dhidi ya USM Algier.
Unamkumbuka Okwi alichowafanta wa Tunisia....kwani kumtia Bingwa waAfrika kwa o nati sio ushindi!
 
Du bila shaka wewe umezaliwa Mwananyamala,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…