Simba ifanyeje kuwauaa FC PLATINUM

Simba ifanyeje kuwauaa FC PLATINUM

labuda muingie na vichupi vinginevyo mnapigwa rais wa uganda
 
Simba waruke sarakasi,wacheze judo uwanjani lakini this game hawataoboi,wasubiri play off
 
Iwaombe yanga wajifanye wao ndio Simba,Platinum atakufa mapema sana.
 
IMG-20200713-WA0022.jpg
 
utopolo endeleeni kuhangaika!! simba ilishapiga hatua sana kwenye soka sidhani kama tutasikiliza mbinu zenu za vijiweni. simba sasahivi inapigana usiku kucha kuhakikisha jirani nae anacheza klabu bingwa mwakani kupitia mbeleke tunayoindaa sasahivi..... ko tulia mwakani mtaingia clab bingwa kwa mbeleko kama unabisha tunza uzi huu tutakumbushana!
Kwaiyo unataka watu wooote wapende mikia sio[emoji848][emoji848]
 
Uto mnateseka sana.
Mnaongoza ligi ila hamlali usingizi.
Watapataje usingizi,wakati wanajijua Wana timu ya kuungaunga,ndiyo maana Wana kamati ya propaganda na uzushi dhidi ya[emoji881],sijui wiki hii watakuja na porojo gani dhidi ya [emoji881].
 
Waruhusu mkude apige mzigo wa Barbra ndo aingie uwanjani.........Bila hivyo watavuna aibuu
Barbara mbona mnamuonea wivu sana Uto!

Nendeni mchukue nafasi yake Mkude awalambe
 
Hakuna beki nchi kama wawa iliwa Ame atacheza basi ataanza na wawa
Lwanga nasikia vibali vyake vimekabilika na itv imefika nafikiri ataanza hapo kati
Kuanzisha washambuliaji wawili inabidi upunguze kiungo mmoja aidha mkabaji au kiungo mshambuliaji pendekeza sasa nani apungue ndemla ama bwalya
Itapendeza kama mksoni akicheza kutokea kati
Wawa akicheza na mwenye speed utamkataa......
 
Hakuna beki nchi kama wawa iliwa Ame atacheza basi ataanza na wawa
Lwanga nasikia vibali vyake vimekabilika na itv imefika nafikiri ataanza hapo kati
Kuanzisha washambuliaji wawili inabidi upunguze kiungo mmoja aidha mkabaji au kiungo mshambuliaji pendekeza sasa nani apungue ndemla ama bwalya
Itapendeza kama mksoni akicheza kutokea kati
Lwanga hajacheza muda mrefu itakuwa hatar kumuanzisha.
 
Sema Bwalya ni fundi sana.
Kwangu mimi naona ndo Man of the Match.
Ana pasi fulani matata sana.

Mkude aendelee tuu kukaa kwa Mama ake kinondoni.
 
Back
Top Bottom